Ndugu wanajamvi, nikiangalia miaka kadhaa inayokuja ni dhahiri kuwa CCM kitaangushwa kwenye uchaguzi wa nchi. Sababu za kuangushwa ni nyingi ila hiyo sio mada yangu kwa sasa. Kwa sasa naangalia nini kitatokea baada ya kuangushwa.
Ninachoona ni kuwa kutakuwa na ulazima wa kukifuta chama hiki...
Wakuu kuna mambo ambayo yanafanyika kwenye njia kuu ziendazo mikoani ambayo hayatakiwi kufumbiwa macho.
Abiria wa mabasi wanapoingia kwenye vituo vya kula chakula wengi wao wanachukua vyakula kama take away, kinachofuata ni kula ndani ya basi na kisha mabaki ya mifuko ya plastiki, chupa za...
MTASHANGAA sana enyi ndugu zangu. Nasikia sasa kaulimbiu imebadilika ghafla. Sasa tunaambiwa kwamba ‘wanawake wanaweza,' utadhani kuna aliyewahi kubisha.
Nasema wacha tu niijadili hii mada kuliko kukaa na kijiba cha moyo.
Chonde-chonde enyi watu msije mkadhani nasema wanawake...
Ni jambo lililo wazi kuwa watanzania tumebadilika sana kimitazamo na kuwa forums zilizopo na hasa TV na radio kwa mtazamo wangu zinashindwa kukidhi kiwango cha upevu wa kimawazo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Ukiangalia TV karibu zote TZ na hata radio zetu nyingi zina muelekeo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.