Wakuu kuna mambo ambayo yanafanyika kwenye njia kuu ziendazo mikoani ambayo hayatakiwi kufumbiwa macho.
Abiria wa mabasi wanapoingia kwenye vituo vya kula chakula wengi wao wanachukua vyakula kama take away, kinachofuata ni kula ndani ya basi na kisha mabaki ya mifuko ya plastiki, chupa za plastiki za maji ya kunywa zinatupwa tu nje barabarani.
Ukifuatana na mabasi haya utaona jinsi abiria walivyokosa ustaarabu kwa kufanya vitendo hivyo vya aibu.
Kwa wale wanaosafiri barabara ya kwenda Mbeya kutokea Dar mtakubaliana na mie kuwa maeneo baada ya Mikumi kuelekea Aljazeera yamechafuliwa sana. Ni ushauri wangu kwa serikali kutighten sheria na ikiwezekana kutoa faini kali sana ili uchafuzi huu wa masingira ukome.
Nashauri yafuatayo:
1. Mabasi yaweke dust bins
2. Kuwe na matangazo kila basi linapotaka kusafiri na hata wakati wa safari kuwa si ruhusa kutupa uchafu nje.
3. Kuyafungia mabasi ambayo abiria wake wanatupa taka hovyo.
Tunaweza kufanya mengi ili kuhakikisha mazingira yetu yanakuwa masafi.
Nawasilisha.
Abiria wa mabasi wanapoingia kwenye vituo vya kula chakula wengi wao wanachukua vyakula kama take away, kinachofuata ni kula ndani ya basi na kisha mabaki ya mifuko ya plastiki, chupa za plastiki za maji ya kunywa zinatupwa tu nje barabarani.
Ukifuatana na mabasi haya utaona jinsi abiria walivyokosa ustaarabu kwa kufanya vitendo hivyo vya aibu.
Kwa wale wanaosafiri barabara ya kwenda Mbeya kutokea Dar mtakubaliana na mie kuwa maeneo baada ya Mikumi kuelekea Aljazeera yamechafuliwa sana. Ni ushauri wangu kwa serikali kutighten sheria na ikiwezekana kutoa faini kali sana ili uchafuzi huu wa masingira ukome.
Nashauri yafuatayo:
1. Mabasi yaweke dust bins
2. Kuwe na matangazo kila basi linapotaka kusafiri na hata wakati wa safari kuwa si ruhusa kutupa uchafu nje.
3. Kuyafungia mabasi ambayo abiria wake wanatupa taka hovyo.
Tunaweza kufanya mengi ili kuhakikisha mazingira yetu yanakuwa masafi.
Nawasilisha.