GETI UKUBWA: FUTI 8 ×7
BEI: TSHS 400,000
_______________________
MLANGO UKUBWA: FUTI 7×7
BEI: TSHS 500,000
_______________________
KWA HUDUMA YETU: 0716442950
MAHALI: MBEZIBEACH
_______________________
TUMEBADILISHA MATUMIZI YA FLEMU KUWA NYUMBA YA MAKAZI.
KINAUZWA KIWANJA TABATA KIFURU
_____________________
ENEO: Tabata Kifuru
_________
BEI: - Tshs 28 Milioni
_________
UMILIKI: Kimipimwa kina offer.
_________
UKUBWA WA VIWANJA: Sqm 800.
________
HUDUMA:
Umeme Tanesco upo.
Maji Dawasa yapo.
Huduma zote muhimu zinapatikana kwa urahisi...
Hi apartment IPO kariakoo faya, Ipo floor ya 3 no lift.
inavyumba viwili kimoja ni master sebule jiko choo Cha pablc
bei laki 5 Kwa mwezi Kodi MIEZI 6.
_ sevice charge elfu 30 kila mwisho wa mwezi ( Maji, Ulinzi, Takataka )
- Call: 0742141467
Ukubwa wa kiwanja: 650 Sqm.
Eneo: Goba Kulangwa, barabara mpya ya lami ya Kuelekea Madale.
Bei: Tshs 25,000,000 (Milioni 25)
Kina hati ya wizara.
Contact : 0742141467
Mkuu ni kweli wananchi wanashida chungu mzima lakini katika kujenga nchi lazima kuna vitu vingine vifanyike sambamba na kuinua uchumi wa watu.
Kwamfano, suala la kuleta amani ndani ya nchi - japo kuwa wananchi ni masikini lakini nchi lazima itenge bajeti ya kuimalisha ulinzi na usalama.
Wazo...
Bilashaka wewe utakuwa ni wakala wa Shetani..
Kwaiyo katika kufikilia kwako kote, ndiyo ukaona dini ndiyo tatizo kubwa katika maendeleo ya afrika.
Nchi nyingi duniani zimepokea dini hizo kama zilivyopokelewa afrika lakini zina maendeleo makubwa sana. Mfano, Brazil, Turkey, n.k
Tatizo...
Tutumie kiswahili mazima kutoka primary hadi chuo, Vitabu vyote msingi hadi sekondary viandikwe kiswahili ...
Tuachane na lugha ya mzungu, tukuze chetu
Suala la Kuongea vizuri lugha yoyote linahitaji practice, ndiyo maana WaTanzania wengi wako vizuri kwenye uandishi kuliko kuongea Kiingereza! Kwenye shule zetu nyingi tunakitumia zaidi kiingereza kwenye maandishi sio kwenye kuzungumza...
Kikubwa maelewano, ukiweza kuongea lugha ya kigeni na watu wanakuelewa inatosha!!!!!
Wewe kama unataka mswahili aongee kiingereza kama mwingereza, wewe utakuwa mwendawazimu !!!
Mwanamke na Mwanaume wote Wana haki sawa juu ya Mtoto, hayo mambo mengine ni mambo ya Imani, Mila na desturi zetu tunazozifuata na Kuziamini...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.