Hiyo sio Stakabadhi/receipt kaka, Hiyo ni Notification kuwa umetenda kosa.na kuwa unafahamishwa juwa ndani ya siku saba uwe umelipa faini kwa kosa uliloyenda.
Saaa nenda kituo cha polisi ukakatiwe Stakabadhi kama umeshatoa hela
Natafuta Toyota Hiace Supperoof Engene 3L au 5L iliyo katika Hali Nzuri ya Body na Engine.
Body ndio kipaumbele cha kwanza iwe Haijagongwa wala kupata ajali kubwa(sio michubukoo midogo)
Nahitaji Zaidi Namba "B" au namba "C" Hata kama Namba "D" itapatikana ni Vizuri zaidi.
Kama Kuna Namba "A"...
Biashara ya Daladala inalipa vizuri sana
Nimepitia uzi huuu kurasa zooote na nimejifunza mengi sana, aidha mengine nimekutana nayo sana katika biashara hiii ya Daladala, ambayo mpaka sasa ninaifanya.
Kwasababu nina hamu ya ku share nanyi uzoefu wangu basi nitaomba mnivumilie kidogo ili niweze...
Nimependa sana Majadiliano haya, Naogopa sana kuchangia mambo yahusuyo dini, Maana ni rahisi sana kuteleza, Aidha hata ukiongea ukweli au uhalisia, lazima utakwenda kinyume na matakwa ya wachache kwaajili ya IMANI zao.
Naweza Kueleza kama najaribu kujibu tuuu kuwa ni Kweli Serikali ya Tz haina...
Walishaita watu December December 13 Ilikuwa Written Interview na walifanya watu 140 wakachaguliwa 15 tuu kwaajili ya Oral Decemba 16,Ili wapatikane watu 7 Watakaoajiriwa..Naongelea kazi za Internal Investigation Officer TRA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.