(1) Poleni sana poleni, poleni tena nasema
Nasema tena poleni, kifo cha dada Mtema
Hiki ni kitu kigeni, naona kama sinema
Mrimu wa Herakuli, namlilia Mtema.
(2) Namlilia Mtema, wa Herakuli Mrimu
Naja hapa nikihema, sikupiga hata simu
Mwili unanitetema, kikumbuka marehemu
Wa Herakuli Mrimu...
Mwanjelwa: Mheshimiwa Dr. Willbrod Peter Slaa anagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hagombei Ubunge! Kwa mantinki hiyo hana wajibu wa kuwapigania wagombea Ubunge. Wagombea hao wanaweza kujitetea wenyewe majimboni mwao! Pia wanaweza kutetewa na CHADEMA kama chama na sio Dr. Slaa...
Fernando Armindo Lugo Mendez (59 years old) is the current President of Paraguay and the former Roman Catholic bishop of the Diocese of San Pedro. He ascended to power on August 15, 2008 defeating the Colorado Party which had been in power for 61 years (with 3 dictators)! One of the...
Mzee nasalimia, wa Kijijini hujambo?
La mgambo likilia, ninajua lina jambo!
Mbiu nimeisikia, sio leo ni kitambo
Unataka kumjua, huyu ndege mwenye mambo
Ndege huyu ni KASUKU!
Ndege huyu ni Kasuku, jina nimelibaini
Si Bata wala si Kuku, hawa ndege wa shambani
Wala si yule Chiriku, wa sauti ya...
(1) Hodi ninabisha hodi, salamu wanakijiji
Wazee walipa kodi, wa shambani na wa jiji
Mlioko kwenye bodi, na kamati za majaji
Narejea duniani, Mrimu wa Herakuli.
(2) Wa Herakuli Mrimu, imenibidi kurudi
Kurudi kwa bin Adamu, huenda wakajirudi
Wakajirudi fahamu, na kuacha ugaidi
Narejea duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.