Wanakupigia kuwa kuna pesa imekosewa kutumwa, unapowabaini wanakutukana matusi makubwa na kukata simu!
Hii ni kero nyingine. Nafikiri wahanga wengine wapo. TCRA tafadhali.
Alisema Gharama kubwa ktk Umeme ni kuweka mitambo na miundombinu ya kukufikishia umeme kwako nyumbani (Akizungumzia umeme wa maji ).<br />gharama baada ya hapo ni ndogondogo ambazo kama miundombinu ikisimamiwa vizuri nazo zitakuwa za chini sana au bure.
Alikuwa sahihi kabisa kwa kuingizia neno...
Inanitokea mara nyingi watu kunifananisha na watu walio onana mahali pengine. Hili jambo libatokea kwa watu wengine pia!? Na hili jambo lina ashiria nini!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.