Kwa nilivyoelewe mwajiri anajaribu kukwepa kusema uliajiriwa Mtwara anasema Tanzania. Sasa ulivyoandika hujafafanua mna mgogoro gani. Hata hivyo kama alikuajiri Tanzania lazima itamkwe ni sehemu gani ya Tanzania. Sisi wote tumeajiriwa Tanzania, wengine Mtwara, Iringa Dar nk. Mkataba wako unataja...
CCM wamechoka jamani, nikutukana tu hawana hoja. Huwezi kusikiliza irani ya CCM kama wewe ni makini wakati kazi yao ni kuharibu tu. Irani yao ina kazi gani?
Akitoka hapo atasema yeye mlemavu na kwamba anaomba vurugu zisitokee kwakuwa walemavu wataathirika zaidi huku anachochea vurugu majukwaani. Nadhani angetoka kwenye hichi chma kama kiongozi abaki mwanachama tu ili aendelee na njaa zake.
Siyo tu lugha ya uongozi hata kwenye research paper ya mtu aliyefanya utafiti fulani yeye binafsi haikubaliki kutumia maneno kama 'i' unatakiwa kutumia wingi 'we', huwezi kupersonalize academic work somply because lazima kunamchango wa watu wengine humo ndani. Ubinafsi mbaya sana.
Ukawa muwe makini na watu kama mleta mada. Anasema CCM wanasema ukawa no hatari hasa kama wakifanikiwa lengo lao la kumtosa Lowassa, anataka kuwaaminisha CCM kuwa Lowassa ndiyo kiboko ya Ukawa hivyo asitoswe. Hapa lengo siyo kuitahadharisha Ukawa bali kumpigia debe Lowassa ili CCM wasimtose.
Msiwe na mawazo mgando, Nyerere alisema hivyo mwaka 1995 kutokana na mazingira ya wakati huo, hakusema milele. Ndiyo maana akasema pia ccm siyo baba yake au mama yake. CCM iliyojaa wezi na matepeli inawezaje kutoa kiongozi bora? CCM imejaa watu wanao kimbilia ikulu, Nyerere si alisema tuwaogope...
Mbona naona yupo na familia yake hapo, kipi cha ajabu? Vijana acheni uvuvuzela. Kama maisha nje ya chama fulani kwako hayaendi kwanini uharibu? Omba kurudi kaka manake upo kama umedata vile.
Kitu ambacho wanaotaka Muungano wa Serikali mbili hawasemi ni kwamba, je katiba itamzuia Mzanzibar kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa TZ? Hii ni kwasababu rais wa Muungano ndiye atakuwa rais wa Tanganyika iliyojificha, je Wanganyika watakuwa tayari kuamuliwa mambo na rais Mzanzibar? Ndiyo...
Anacho shangaza Mtetemela hakufungua mdomo wake kukemea maneno machafu ya wajumbe wa ccm ambao walikuwa wanahubiri mpasuko hasa yule aliyesema waunguja wa uhusiano wa damu na wabara lakini wapemba hawana uhusiano w damu na wabara. Askofu wa kweli asiyepofushwa na siasa anawezaje kutokemea hili...
Mi naona wabongo karibu wote tuna akili finyu hasa vijana, hivi kwanini hamuwezi kufanya mijadala ya maana zaidi ya kutukanana na kubezana? Wewe mleta mada ulipata upinzani na matusi kwa sababu hata uandishi wako ni wa kinafiki, na wenzako wakigundua mnafiki lazima wakupinge tu. Mfano unasema...
Mdee hawezi kuondolewa na watu wanne mlio mponda humu kwenye mjadala, mlio jaa chuki na roho mbaya, mwanzo mwisho bizbap , ifweero tu! TUTAMCHAGUA TENA KWA JASHO NA DAMU.
Katika hali hii Zitto hata ukirudishiwa vyeo utafanya kazi na nani? Kaka hapo bwawa limeingia luba, wapishe tu watu wapite. Haukubaliki tena maana huaminiki tena kwa wenzako na akina siye wa huku mitaani. Vita yako haina faida kwa chama. Kubali tu bro.
Mumpambanishe Zitto wa sasa na Lema wa sasa, manake naona wengine mnapambanisha Zitto wa zamani na Lema wa sasa. Siasa ni kama football tu, kama kocha ulitupa mataji matano msimu uliopita msimu mpya ukibolonga tunakukimbiza tu.
Hii haihitaji mtu ufukuzwe, unaamua tu mwenyewe kuachia ngazi, kwa heshima ya walio kuchagua na nchi kwa ujumla. Ni wakati wa ccm kuonyesha kuwa bado kuna umakini japo kidogo. Hii ni aibu ya mwaka kwa mheshimiwa huyu na ccm hasa kwa maneno aliyo yasema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.