Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii, moyo wangu unauma nafsi yangu inajuta mamaa...
Heshima kwenu wakuu!
Kutokana na ugumu wa maisha niliamua kujinyima nikahifadhi visent vyangu kwenye kibubu lengo lengo nifikishe japo 2ml ili ninunue pikipik na niifanye bodaboda niepukane na adha ya kutumwa. Bahati mbaya kabla lengo halijatimia, kibarua kikaota nyasi.
Kuchungulia kibubu...
Heshima kwenu wakuu! Kutokana na ugumu wa maisha niliamua kujinyima nikahifadhi visent vyangu kwenye kibubu lengo lengo nifikishe japo 2ml ili ninunue pikipik na niifanye bodaboda niepukane na adha ya kutumwa.
Bahati mbaya kabla lengo halijatimia, kibarua kikaota nyasi. Kuchungulia kibubu...
Muda mfupi uliopita kuna kituo cha redio kimepiga wimbo wa matusi, wimbo huo ni wa bongofleva lakini wa muda kidogo. Kwenye wimbo huo sauti niliyoijuwa ni ya Soggy Doggy, sauti nyingine sikuzitambua. Ni matusi mazito yaliyoelekezwa Mawingu fm!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.