Muda mfupi uliopita kuna kituo cha redio kimepiga wimbo wa matusi, wimbo huo ni wa bongofleva lakini wa muda kidogo. Kwenye wimbo huo sauti niliyoijuwa ni ya Soggy Doggy, sauti nyingine sikuzitambua. Ni matusi mazito yaliyoelekezwa Mawingu fm!
Kiukweli media zetu maadili yameshuka sana .....binafsi nimesikia leo jioni nyimbo ya Joh Makini (pengine bado mpya kabisa) akitaja neno f.u,c:k live na redio Clouds wakaupiga kama ulivyo ......pengine radio wamepitiwa bahati mbaya lakini leo nimemdharau sana Joh Makini kwa kulazimisha kurap kwa kiingereza na kutamka neno hilo ktk verse ambayo angeweza kutamka maneno mengine mengi bila kutukana (tena kwa kurudiarudia) kinyume na maadili yetu.......hata mbele radioni huwaruhusu upuuzi kama huu ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.