Kuna vitu vingine sometimes ni vya Kitoto na huwa tunapotezeana tu muda Kuvijadili hapa Jukwaani. Hivi kabisa kuna Mtanzania ambaye aliamini kuwa wale Wauza Madafu ni Wauza Madafu kweli na siyo Watu wa Mfumo na Medani za Kivita? Kwahiyo sasa mnavyomshangaa huyo sijui Muuza Madafu hayo mliyemuona...
Fursa zinakuja namalizia kuandaa Project ambayo pia itanilazimu kuja huko Tanzania kukutana na Mawaziri Waandamizi Wawili kisha nitaenda Zanzibar, Rwanda na Kenya. Kuna Kitu nakifanya ambacho nataka niache Alama kwa wana Afrika Mashariki kwa Kusaidia Wachache ambao nitawaweza. Vuta subira Wewe...
Wakikujibu waambie mwaka 2004 nilikuwa South Africa tena nasoma katika Chuo Kikuu cha Cape Town na mwaka huu nina Ratiba ya Kusafiri na Mkubwa fulani Afrika kwenda nae nchi za Scandnavia na China kabla ya kurejea nae Namibia na atapitia Tanzania kuonana na Mwenzake huko. Naomba HATERS wote wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.