Kampuni inataka kuuza mali mbalimbali zikiwemo nyumba, samani, mitambo, magari, mashamba, etc. Ili kuuza inahitaji kupata Kampuni ya udalali yenye uzoefu katika shughuli hizi iliyopo jijini Dar es Salaam Tanzania. Kampuni inapenda kupata offer toka kwa madalali angalau wanne (4) ili iweze...
,
Umetisha,
Hata ukubwa wa nyumba hujaufahamu/hajakupa umetaja bei. Unamaanisha nyumba yenye 100sqm itagharimu sawa na nyumba yenye 250sqm? Vipi kuhusu aina ya mabati anayotaka kutumia - bei yako inakuwa sawa kwa mabati ya aina zote?
Anyway: Mimi pia nipo nahitaji gharama za kuezeka nyumba...
Southern Africa: SADC Considers Universal HIV Testing
Agência de Informaçao de Moçambique
19/08/2013
Lilongwe Several leaders of the Southern African Development Community (SADC), speaking at the organisation's weekend summit in Lilongwe, called on member states to adopt the principle of...
Wasalaam,
HUU NI UZUSHI!!!!
HAWAJATANGAZA NAFASI ZA KAZI NA HATA WAKITANGAZA MFUMO WAO UPO TOFAUTI NA ALIYEWEKA HII POST..
Maombi ya kazi huwa yanatumwa kwa applications@opportunity.co.tz au barua kwenye SLP 80244 DSM.
Ninayaandika haya nikiwa na taarifa rasmi kutoka ofisi hiyo yenye makao...
Habari za Mchana,
Naomba msaada wa kuweza kutumia internet ya mtandao wa AIRTEL kwenye simu aina ya Nokia Lumia 510. Nimejaribu kuisomasoma ila sijafanikiwa jinsi ya kujiunga.
Nilikuwa natumia "line" hii hii kwenye Blackberry.
Natanguliza Asante kwa msaada wenu.
Wasalaam,
Nimekuwa kwenye vita na panya nyumbani kwangu kwa miezi sasa. Panya hawa wapo wengi kiasi kwamba wakati mwingine unaweza kugongana naye ukiwa unapita kwenye "corridor" nyumbani hasa mida ya usiku.
Ninaomba ushauri jinsi gani ya kuwatokomeza.
NOTE:
.Ninaishi kwenye "appartment"...
Salaam,
Napenda kufahamu kuhusu Google Maps.
1. Nani anamiliki/simamia/ratibu Google maps?
2. Huwa inaboreshwa?
3. Kama jibu ni ndio; Maboresho yanafanyika kila baada ya muda gani?
Huwa napenda sana kuitumia katika kufahamu maeneo tofautitofauti ila ninakuwa najiuliza lini nitaona maboresho...
Wana JF,
Nimekuwa na shauku ya kufahamu mipango iliyopo ya matumizi ya ardhi hususan kwa jiji la Dar es Salaam. Hii ni hasa kwa maeneo ambayo hayajapimwa bado (unsurveyed) kama vile baadhi ya maeneo ya Mbezi Msakuzi, Mbezi Makabe, Goba, Madale, Mbagala Kuu, Msongola, Kivule, Kibamba - Kwembe...
Bornagain; eneo hili linafikika kirahisi na umeme upo nyumba ya jirani kama mita 200 kutoka hapo kwenye kiwanja. Nyumba zinazoonekana zipo katika hatua ya mwisho ili nao waweze kuuvuta huo umeme. Wakiuvuta utapita mpakani mwa viwanja tajwa.
Ni kweli Kibwegere kwa unayoyasema hasa baadhi ya...
Makeda,
Hivi viwanja vipo kama 1.5km kutoka barabara ya Morogoro.
Eneo lina document ya serikali ya mtaa.[
Ni eneo la mtu mmoja ameamua kugawa viwanja vichache yeye ataendelea kuishi hapohapo.Q
UOTE=makeda;4878364]-Vina umbali gani kutoka barabara kuu?
-vina documents gani?
-vimepimwa?
Hahahaaaaaa.......
5x10m? hiyo nadhani utauziwa ili kuongezea upana wa barabara tu georgeallen.
1.5m kwa eneo hilo sio rahisi kupata kiwanja kwa ajili ya makazi.
Viwanja vizuri vinauzwa eneo la Kibamba Dar es Salaam
Picha hapo chini zinaonyesha sehemu ya viwanja hivyo na nyumba zinazoonekana ni majirani.
Ukubwa mita 25 kwa mita 30 Shs 8.5m,
Ukubwa mita 30 kwa mita 40 Shs 16.5m,
Ukubwa mita 25 kwa mita 20 Shs 6.5m.
Viwanja hivi vimeungana, hivyo unaweza...
Tarlisha;
Kizuri kina gharama zake. Ila tusiwatishe ambao hawajawahi kuyatumia haya magari. Tofauti ya matumizi ya mafuta ni ndogo kiasi fulani. Kwa mfani Hii GX100, 6cylinder inakwenda kwa wastani wa kilomita 8-10 kwa lita (mwendo wa kawaida mjini). Spacio/Carina Si/Corona Premio and alike...
.
KakaKiiza;
Kwa uzoefu mdogo nilionao, mara nyingi vinavyodumu huwa havinunuliwi mara kwa mara (mzunguko mdogo).
Kwa uzoefu wa miaka sita sasa nimetumia CRESTA GX100; 1997 Model kama hiyo inayouzwa. Sijawahi kupata tatizo kubwa la kiufundi zaidi ya service, kubadili tyres, bulbs (taa) za mbele...
WanaJF,
Juzi nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina kwa ananifahamu vizuri sana.
Kisha akanieleza kuwa kuuna Deal la biashara inayohusisha wizara moja hivi.
Nilishawahi kusikia watu kibao wametapeliwa kwa njia ya watu kama hawa hivyo sikuwasikiliza hadi mwisho nikakata simu...
Yeah!
Mara nyingi tunaamini kuwa wanawake ni wataratibu na makini wawapo barabarani - hivyo gari zao hazikutani na majanga mara kwa mara.
Hata hivyo kwa uupande mwingine----- natanguliza samahani;
Wanawake wengi nilioktana nao na kufanya nao kazi/soma nao na sorry to say even my wife--- swala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.