Nimepokea picha hizi kutoka Bukoba kuwa ni mafuriko ya mgombea ubunge jimbo la Bukoba mjini CCM balozi Kagasheki. Hivi kule mgombea UKAWA ni yupi, nimecheka sana. Ina maana hilo jimbo CCM italichukua kweli?
Huko Bukoba mkoani Kagera mgombea mmoja wa nafasi ya ubunge aitwaye Dk Aman Anatory asubuhi alichafua hali ya hewa baada ya kudai katika mkutano wa kampeini kuwa Serikali ya CCM inanuka rushwa,kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa tz kuna tahasisi nne zinanuka rushwa,mojawapo ni ofisi ya CAG...
Taarifa kutoka Bukoba Mkoani Kagera ni kwamba Mbunge wa Bukoba mjini Balozi Kagasheki ambaye yuko Bukoba Mjini takribani wiki nzima sasa amemwangukia hasimu wake Dr. Amani akitaka amsamehe kwa yote yaliytokea.
Taarifa ni kwamba Aman amesema hawezi kufanya huo 'upuuzi' kisema 'ni bora nikambusu...
"Time: 11-02-2015 14:22:31
Content: Vodacom leo imechezesha droo ya washindi 11,111. Je namba .............. imo? Tuma AUTO kwenda 15544, angalia kama umeshinda Milioni 100 za leo.."
Ukirogwa ukatuma SMS husika unakatwa 300/= na kuelezwa kuwa kwa washindi wa milioni 100 haumo ila tuma tena...
Huyu Kijana,nasikia ni katibu wa CHADEMA Zanzibar lakini kila siku utamsikia Ukerewe,Lindi, Arusha nk. Hivi kule Zanzibar vipi? CHADEMA walimpangia shemu gani ya kazi? Ofisi yake nasikia ipo Zanzibar lakini yeye anaishi Dar na anaratibu ziara za bara kutoka Zanzibar.
Siasa za bongo uchuro mtupu.
Sorry kwa hii pics lakini kufika hatua hii ni ili iweje? nataka akina MziziMkavu watueleze chanzo cha ugonjwa huu ni nini,tiba yake na madhara yake katika jamii.
final ya miss world 2014 ni 14-12-2014 siku zimebaki chache tumpigie kura miss tz 2013
kupiga kura ni rahisi
nenda play store download application inaitwa miss world zipo nyingi lakini chagua iliyoandikwa miss world limited
ukisha download utaona pa kuchagua lugha chagua kibendera kile...
wajuzi wa mahesabu nisaidie kwa hili. maana magari kwa hapa bongo wanatugonga sana,nisaidie cost za tra hapa naona hadi bandarini nitalipa CIF USD 3,790 ambazo ni kama milioni 6.2 tu. Je inaweza vuka 10m?
Ref No:
19510T1N6
Year:
Nov, 2000
Make:
NISSAN
Name:
X-TRAIL X 4WD...
kKama kawaida Msemaji wa Ikulu ajaye atakuwa A.Liongo baada ya kuanza kufanya mazoezi kama mlivyoona akiongelea issue ya Rais Mtarajiwa E.Lowassa kuhusu kuugua kwake kule Ujerumani.
Baada ya Salva kumaliza ngwe yake katika ikulu ya Magogoni akiwa na Jk Kikwete sasa anajipanga kukabidhi kijiti...
Tunataka kujua leo kikao kinaendelea au bunge limemalizika kihivyo? naomba walioko bungeni au mamlaka watujuze.kama mambo yameisha tumefanye mambo mengine maana tangu novemba 26 tuko dodoma kifkra nk.
wahusika tafadhali tupatie ratiba mpya kama ipo
UPDATES
Bunge Limehairishwa tena litarejea...
Tunajifunza nini? hata kama kiongozi anapendwa vipi hii tabia ya viongozi wa afrika kudhani hakuna mbadala wao sijui itakwisha lini? nimesikia hata Kabila wa Kongo anataka kufanya kama hii ya Mbowe. Tafakari
Tufanyeje jamani kubadili fikra za hiki kizazi, wanajitokeza hivui kwenye matamasha sijui Fiesta,kilimajaro Tour nk lakini wakipewa nafasi ya kuchaua viongozi bora hawajitokezi hata kujiandikisha wala kupiga kura,tufanyeje kutumia matamsha haya kutoa elimu japo ya kujitambua kwa sisi vijana...
Huyu msanii ni kutoka Uganda, video zake zote ni full ngono.kuanzia swiming pool,farm,china,best man na sasa kaachia moja inaitwa sauna hakika weka mbali na watoto,ukikutwa unaitazama ndoa inavunjika kabisa. nataka kujua hizi vieo zinaruhusiwa kuchezwa katika TV na kuuzwa kama hizi za akina Alyy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.