Tafadhali naomba mwenye ufahamu /uzoefu anisaidie katika hili; Ikiwa mtanzania aliyeko nje ya nchi ana gari lake analolitumia nje ya nchi na anataka kwenda nalo Tanzania lakini umri wa gari ni zaidi ya miaka 10, je anapata examption hii iliyotajwa hapo juu au sheria ya damping fee inamzuia...
MLIMA KILIMANJARO UMETINGA RASMI KWENYE FAINALI ZA KUTAFUTA NEW 7 WORLD WONDERS OF THE WORLD YAANI MAAJABU 7 YA DUNIANI. TUNASHUKURU BWANA ANKAL KAMA ULIVYORIPOTI HAPO SIKU ZA NYUMA TUUPIGIE KURA MLIMA WETU, KWENYE MTANDAO HUU WA JAMII.
WAKATI WA TAARIFA HIZO, MLIMA KILIMANJARO ULIKUWA NDANI YA...
JAMANI TUPIGE KURA KUPITIA 7newwonders.com TAFADHALI HAMASISHA WENGINE PIA .
Wednesday June 23, 2010
Local News
Kilimanjaro seeks support in Nature wonders race
From MARC NKWAME in Arusha, 20th June 2010 @ 16:00, Total Comments: 0, Hits: 276
WITH only seven months to...
Nyumba inapangishwa iko Tegeta -Nyaishozi- karibu mita 500 tu kutoka barabara ya lami -bagamoyo road (upande wa beach). Ina vyumba viwili vya kulala-mojawapo ni selfcontained, ina sebule, dining, jiko na choo/bafu la public. Nyumba iko ndani ya fence ya ukuta wa matofali na ina geti imara. Pia...
MSAADA WA TAARIFA YA GENERATOR YA KUKODI
Naomba kama kuna yeyote anajua mahali ninapoweza kukodi generator anitaarifu tafadhali. Niko DSM na nahitaji generator kwa ajili ya kufanyia fitting ya madirisha ya chuma (grills) kwenye nyumba ambayo haina umeme
MSAADA WA TAARIFA YA GENERATOR YA KUKODI
Naomba kama kuna yeyote anajua mahali ninapoweza kukodi generator anitaarifu tafadhali. Niko DSM na nahitaji generator kwa ajili ya kufanyia fitting ya madirisha ya chuma (grills) kwenye nyumba ambayo haina umeme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.