Changanyikeni kuna matatizo makubwa ya maji...hebu tuambie kisa cha kupangisha eneo lote hilo kwa bei rahisi namna hiyo...
labda inabidi uonane na mheshimiwa akuazime ile AK47 yake.hahahah mie coments zilizotolewa kny hii topic zimenichekesha sana mara kuchapwa usiku na mashetani,,mara majambazi ,mguu wa kuku...lol
Changanyikeni kuna matatizo makubwa ya maji