Mafunzo mazuri ya ukakamavu lakini mbali ya hilo sioni zuri lilikuwepo JKT. Bullying, uonevu na raping in all but name. Kwa waliokuweko Mafinga (Nguvu Kazi - 1983/4) D-Coy watawakumbuka Commando, Mpogole Mpilano Nico Kimbunga na wengine. Yes, the disco bit and night time comical stories were...
Nafikiri hili sana ni suala la waliomchagua. Sehemu muafaka ya kujadili masuala haya ilikuwa kwenye vikao vya kampeni kabla ya uchaguzi. Kwa sasa nafikiri ni muhimu kusubiri PhD ya mgombea anayefuata. Samahani kama nimekosea, ni maoni binafsi...
I can understand how you are feeling and all I can say is, pole sana. It is a shame kwamba mambo haya yanatokea kila kona Afrika. Nenda msikitini Mwanza mara umeibiwa viatu, it is a shame...
Siamini kamwe kuwa wanao-miss JKT wanazungumza toka moyoni. Licha ya mazoezi mazuri ya kijeshi na ukakamavu, lazima ikubalike pia kuwa waliokosa JKT waliepukana na mateso, uonevu na unyanyasaji. Kama ningewajibika kurejea nyuma na kwenda JKT nikijua ninayoyajua sasa nisingekwenda na...
Kawaida si mpenzi wa kuandika makala ndefu lakini kwa vile umenigusa, nitajitahidi hususan kwa sababu suala hili linanikera sana na halihusu tu walimu - wamo madaktari na watu wa fani nyingine. Nianze na tuition ambayo haikuwepo wakati wa zama zangu - na sijafika miaka hamsini bado. Hata hivyo...
Inna lillah wa inna ilaihi raajiuun. May his soul be granted a place in janna. Those who have been fortunate enough to have witnessed the political phases over the last three decades will probably agree with me that - like Julius Nyerere and a few others - Mzee Kawawa was undoubtedly a rare...
Using the title engineer is just a convention which although not quite common within the British educational system it is a standard title for qualified engineers in most countries in continental Europe and elsewhere. With or without it one should not really loose sleep over it unless, of...
Using the title engineer is just a convention which although not quite common within the British educational system it is a standard title for qualified engineers in most countries in continental Europe and elsewhere. With or without it one should not really loose sleep over it unless, of...
Nothing surprises me - it is a reflection of a loving poor African parent - like many millions across the continent and beyond. The only hitch is that he may have missed that love from his own father, but otherwise it is all fine...
It would have been easy for Mo to give it ti us as a translated version of the orginal article. As a repreentative of the people being accused of plagiarism is quite nasty - surely, Mo owes all readers and the original author an apology.
Hili suala la vyeti feki ni la kufutuatiliwa na Wizara ya Elimu ya Juu, Sayansi an Teknolojia. Sijui kama wazir na katibu mkuu wake hawana taarifa hizi. Kuhakiki kuwepo au kutokuwepo kwa taasisi ya elimu ya juu katika dunia ya sasa ni kitu rahisi sana hata kama chuo kingesemekana kuwa ndani ya...
Sad. It is indeed sad to see this sort of image. The photo may well have been doctored but there is no doubt is a true reflection of the harsh reality on the ground in that part of the world. It is a reminder to most of us who take things for granted. The other day I went out to Wet and Wild in...
Senior employees of most institutions in Tanzania (particularly state or semi-state owned) are paid the so-called "sitting allowances" when they sit on committee or managerial meetings. The payments tend to be hefty sums of money and in most cases a single "sitting allowance" is more than an...
Senior employees of most institutions in Tanzania (particularly state or semi-state owned) are paid the so-called "sitting allowances" when they sit on committee or managerial meetings. The payments tend to be hefty sums of money and in most cases a single "sitting allowance" is more than an...
Zote karibu ziko on-line. Youtube had ABBA Gold and and others - but some have now been taken off. The best way is to google-search them. You may also wish to get hold of MAMA MIA - a recent movie set on a Greek island with a story fully narrated through a series of ABBA hits...
He was once warned by Mwalimu against those who stood above him in terms of not only academic qualifications but also what very quickly proved to be basis reasoning and strategic planning. His political career was built on flagile foundations, on bricks of ice in the desert which gave him an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.