Taa ni ishara warning kuwa mfumo wa brake unatatizo kama vile blakefluid imesha. Hauwezi kupata kabisa Blake.. Kama blakefluid ikosawa na haivujishi kwenye system Haina shida Sana maana yake sensor kwenye maguludum zinatatizo so Blake utapata lakini utakosa wepesi wa kushika kwa blake(ufanisi wa...
Kama gari sio automatic. Haina kazi, kama ni automatic agiza mfundi wakuwekea. Maana ABS inacontroliwa na kitu kiitwacho ECU, ECM(ELECTRONIC CONTROL UNIT)usaidia kupunguza speed YA engine unapo kanyaga pedel YA blake na kubalance maguludumu yote kushika Blake kwa usawa ili gari ISI sote upande...
Ndugu zangu natafuta engine yakichina yenye nguvu naspiidi kubwa sijui ni ip nataka kumodify pikipiki yangu aina YA Honda cb125 maana spare original zimenishinda
Ina maanisha gari yako inanguvu sana.kiasi ambacho ata muundaji wa hiyo gari ange ongeza gia namba6 7 ingefanya kazi vizuri kwa mwendo lakini kutokana na masuala ya kimahesabu itabaki hivyo kwani kama gari inagia5 basi ni5tu
hiyo maanayake ni areji so kuna dokta aliniambia hakuna dawa zaidi ya kuacha kinacho kudhuru maana mimi nina jamaa yangu akila nyama ya cow anavimba uso natumbo kuumaa.,pia niwaombe ndugu tunaochangia kwenye mambo ya msingi hasa matizo tusichanganye na masihara coz wengine tunakereka coz...
Usifanye hivyo maana once unapofanya mistake lazima utajutia mda ulio upoteza kuandaa kuload windows upya chakufanya kuna idm yenye regkey ambayo uta run kweny directory ya idm hii ni 100/100 au fanya kamaulivyo ambiwa na KANG ispokuwa kuna fures utazikosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.