Habarini wanajukwaa,naomba nitumie dakika mbili kuuliza na kwa yeyote mwenye ufahamu na anifungue.Hv hawa polisi wa usalama barabarani ni miungu watu?hv kuna uhalali gani wa kila gari inayopita dereva atoe 3000 au 5000?inashangaza tabia hii inayochangia wananchi kulichukia jeshi la polisi na...
Ndugu zangu mm ni maskini katika eneo hili la kiteknolojia,nina iPhone ya kichina na nataka kuiunga na huduma za internet nifanyaje?au huwa hazifungui internet?na km hivyo inawezekanaje simu ya 120000 isifunguke internet?nisaidieni waungwana mm wazazi wangu hawakunipeleja shule shauri ya ufukara
MKWE;yaani unakuja kuposa binti yangu huku unakula chewing gum{big G}?JAMAA;mdomo unanuka nilivuta sigara,MKWE;na sigara unavuta?JAMAA;nilivuta jana nilipokunywa pombe wakati nipo club,MKWE;heee! Hadi pombe unakunywa? JAMAA;nilijifunza wakati niko jela,MKWE;mtumeee...na kufungwa ulishafungwa...
Habari zenu wanajukwaa,
Naomba kwa ufupi sana nibainishe sababu kadhaa zinazochangia kushukaa kwa kiwango cha elimu katika mkoa wa Tabora,kwanza mazingira magumu kutokana na jiografia ya mkoa ulivyo,pili uhaba wa walimu na vifaa vya kufundishia kutokana na idadi kubwa ya walimu kuhama mkoa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.