Hello,
We are professional trainers in office applications and many other professional and career enhancement areas. Our well organized tools and techniques are meant to shape your skills to deliver the best to your clients, managers, employers, employees, students, etc.
Advanced Excel...
Katika pita pita zangu, nimegundua kuwa watanzania wengi huwa wanaunda vyama vya kijamii kwa ajili ya "kusaidiana katika shida na raha". Leo naomba tuangazie matatizo ambayo ni commom kwa vyama vingi na tujaribu mwisho wa siku kuyatafutia ufumbuzi kwani vinapoteza hela nyingi za watanzania...
Wakubwa,
mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila documentaries sijaona.
Hello,
Natafuta water level sensor + indicator inayoniwezesha kujua level ya maji kwenye tanki. Inaweza kuwa midhiri ya ile ya mafuta kwenye gari au hata "digital version" yake.
Niko Dar es Salaam. Kwa anayejua pa kuipata naomba anijuze.
Natafuta dalali mwenye uzoefu na network upande wa kariakoo. Nahitaji duka/frem. Naomba kama wewe ni dalali au unaye dalali unayemfahamu mwenye kushughulika Kariakoo nipe contacts zake hapa. Ukiona noma kuziweka namba zake adharani, basi naomba ni-pm. Ahsante sana.
Natafuta fundi mzuri wa suruali mwenye kuzingatia muda na kutunza ahadi. Awe ubora wa kazi. Asiwe mtu wa kufiwa na kuuguliwa au kuugua kwa kusingizia. Kama unamjua mwenye sifa hizi nipe contact yake hapa au ni-pm. Pesa sio issue, niko radhi kulipa premium kwa quality zilizotajwa hapo juu. Asante...
Nimetoka zangu home jioni kumsindikiza mgeni. Nakutana na mtoto wa kike, bila shaka fom 4. Anatoka shule - kitu pekee kinachomtambulisha kuwa ni mwanafunzi ni Unifomu. Vinginevyo amekamata smatifoni, whatsap kwa wingi na simu inaingia hii, inakatwa hii, inapokelewa ile. Hakuna hata daftari moja...
Wakubwa, Nategemea kulima acre 15 na zaidi za mahindi kwa kutumia mbegu mpya ya H600. Kwa matarajio yangu, nitavuna mnamo mwezi wa 6/7 mwakani (2014). Kwa mwenye mahitaji makubwa ya mahindi (shule, hotel, kambi, duka la jumla, etc) awasiliane nami. Ni-pm au piga 0769 608 996. Pengine utajiuliza...
Habari njema kwa wakazi wa Mbezi, kimara, Kibamba, Kibaha. Usihangaike tena na foleni kwenda mjini kufanya shopping. Sasa nguo za kina mama na watoto zinapatikana Mbezi Louis kwenye duka letu jipya kabisa. Ziko za aina na size tofauti - pia bei zetu ni nzuri.
Unakaribishwa - fika upate huduma...
Natafuta greenhouse ya bei nzuri. Naomba mwenye kujua wapi naweza kuipata anijuze. Nahitaje iwe complete system ikiwa na drip irrigation system yake. Size kuanzia 8mx15m.Ahsante.
Wakubwa salaams, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata mbegu za nyanya aina ya F1 hapa dar es salaam anifahamishe. Ahsante.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Wanajamvi, natafuta Frem ya biashara maeneo yafuatayo.
- Sinza
- Mwenge
- Kijitonyama
- Kariakoo
Sifa zinazotakiwa, iwe inatazama barabara kuu za mtaa au kwenye mkusanyiko wa watu wa kutosha kuvutia biashara.
Mwenye kuwa nayo au kujua fremu hiyo ilipo anijulishe kupitia mutensa@live.com
Pia...
Nauza plot mbili, eneo zilipo unaingilia luguruni sheli. Ziko pembeni mwa barabara hiyo ya ndani, si mbali na main road. Zinafikika vema na gari na umeme upo. Tuwasiliane mutensa@live.com au ni-pm kwa details.
Naomba msaada, ile TIN number ninayotumia kulipia road licence naweza kuitumia kwa biashara nyingine. Na je nahitaji kufanya kitu chochote huko TRA kama kujaza fomu etc kabla ya kuitumia kwa biashara.
Wapendwa,
Katika jitihada za kupambana na umaskini, nilichukua kakichaka ambako nakasafisha kwa ajili ya shamba na shughuli za ufugaji. Changamoto niliyokutana nayo ni kuwa:
1. Kuna vichaka vingi vinavyozunguka eneo hili kiasi kwamba hata nikisafisha bado majirani zangu wanabaki na vichaka
2...
Wapendwa,
si vibaya kushirikishana mambo ya maanjumati kutokana na uzoefu.
leo nimeamua kuwasaidia mabachela ili waache kula vyakulahafifu kwenye mama ntilie wajitengenezee misosi home haraka.
Basi tenga muda kwenye weekend nunua vitunguu vya kutosha, vitunguu swaumu, pilipili hoho, nyanya...
Wakubwa heshima mbele,
Naomba kujua mahali wanapokamua alizet hapa dar. Nafikiria kulima zao hili ukanda huu wa pwani lakini sijajipanga kununua mashine ya kukamua, hivyo ningenufaika kama mtu atanijuza wapi naweza kukamulia baada ya kuvuna.
Natangulia shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.