Nyangwine wa Mkwawa complex ?, nakumbuka Majembe ilikuwa ndiyo ya Wasichana, kama ni uzao wa Mkwawa kwanini hana utetezi kwa wapiga kura wake, ila poa tuu, apate kichapo naamini kinatoka pande zote mbili za waliomchagua kwa maana wameshamchoka,na ambao hawakumchagua
Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.
Hii thread ni ugoro mtupu, sijui jamaa anaota, issue hot na nzito zinazobeba mustakabali wa nchii ambazo ziko Bungeni hazina mahusiano na lithread lake lisilokuwa na kichwa wala miguu
Mkuu tuna shida na umeme na wala si misikiti au makanisa, hiyo adhana utaipigia nini kama huna umeme.
WAOMBE...
Mkuu of course serikali imeshindwa kuongoza hivyo it has to stay aside wengine waongoze, 50 years ya Uhuru ni blah blah kila siku lakini at whose expense?
Tumeongea swala la Nuclear Energy mwaka wa kumi no development no nothing, wakibanwa bungeni na wapinzani wachache ndiyo wanaibua hoja ya...
Inaelekea umelipa mahari kidogo tofauti na mlivyokubaliana, kwa hiyo unaonyesha unataka mtoto wa watu bure Kama wewe ni fukara omba upewe bure.:target:
Wanajf Katiba mpya inatakiwa kwa kuwa iliyopo sasa hivi haifai, kwa hiyo itakayokuja pengine itakidhi mahitaji ya kisheria ambayo ya sasa hivi haikidhi.
Nauliza kwamba hiyo katiba mpya itakayokuja itaweza kutatutua matatizo yaliyoshindikana kwenye katiba ya zamani au itategemea na muundo wa...
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world
Miwakala mingine ni rahisi kurubuniwa, kama huko kwenye vijiji vya akina King Unge ukimpiga jamaa na enyimba anatoka baru na kuachia wajipimie kiasi wanachotaka.
Yesu akiwa nyikani alijaribiwa, na ibilisi 'Kama wewe ni mwana wa Mungu jirushe chini kwani Mungu atawatuma malaika waje wakuokoe kabla hujajikwaa' sembuse Papa. protection is very important for this spritual global figure, bacause by virtue of his position he also experieces a satans saround...
naona wafanyakazi waliopo kweye wizara zitakazo kufa waingizwe kwenye idara zitakazo undwa, issue kubwa hapa ni hayo mashangingi,siyo vizuri kutemper na ajira ya mpiga kura wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.