Miss World

urassa

Member
Feb 13, 2009
68
1
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world
 
wewe na wewe nini? unataka kutuletea mambo ya miss world hapa, wakati tuko kwenye mr. tanznaia, ameweka mabango nchi nzima na kutabasamu kama vile mwali?
 
wewe na wewe nini? unataka kutuletea mambo ya miss world hapa, wakati tuko kwenye mr. tanznaia, ameweka mabango nchi nzima na kutabasamu kama vile mwali?
2b frank he is so handsome, ila mambo yake ndo yanaboa sana
 
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world

What has this to do with "Jukwaa la Siasa"???????????????

Abeg abeg - mod do the necessary
 
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world

Halafu wakizingatia ushauri wako wewe watakula wapi hao wanaojaji kwa sasa? we vipi?
 
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world
ACTUALLY...SIJAPATA KUONA WALA KUSIKIA SIASA YA NAMNA HII!! Au hujasoma heading ya post za humu mzee?? hili ni JUKWAA LA SIASA...NOT JUKWAA LA UREMBO!!iiishh!
 
Jamani mmetembelea website ya Miss World na kuona vifaa vya mwaka huu? tutatoka kweli na huyu Genevieve wetu? acha hao wengine angalia vifaa vya Africa pekee na kujiuliza kama tunafaa kushika namba ya juu hata kwa hao waafrica wenzetu.
 
Back
Top Bottom