Ninyi kwa sababu mmekula kiapo hadi kifo... Kwenye uislamu ikifika mhali hamuezi tena kuishi pamoja kama mke na mume ni bora muachane kwa wema.. maana pia mlioana kwa wem
Habar wakuu humu ndani...
Mimi ni mdau wa elimu katika shule ya sekondari kwemdimu iliyopo wilaya ya Korogwe. Tuna shida ya vitabu upande wa somo la elimu ya dini ya kiislamu kwani tuna idadi ya wanafunzi zaidi ya mia tatu lakini tuna vitabu vinne tu kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha...
Jamani tupeani connection za kusaidiana maisha sasa ni magumu sana lakin kuna watu tukisema maisha magumu mnahisi ni ndoto jaman tusaidiane watu wakati mwingine tunadhalilika kwa vitu vidogo sababu ya pesa tu..... Tufundishane jinsi ya kuvua samaki kuliko kupeana samaki
Kwa walimu ndyo wana mwenendo mbaya... ?. Wengine wote wako sawa?
Mbona zamani watu wengi walikuwa hawaendi shule? Au hao walimu wa zamani wao walikuwa.... Ninyi mnaoamka kila siku na kutafuta mwalimu kafanya nini ndiyo mnafanya taaluma ya ualimu kupuuzika kila kukicha
Kama serikali imeamua hivyo ni jambo jema sana ila wasi wasi wangu kuna baadhi ya watu watajipa mamlaka ya hivyo vishikwambi kuliko hata serikali na kusudio lake... Hivyo huenda visifike kwa walimu wote
Uchumba ni kipindi uchunguzi,matazamio juhusu mwenza umtakae kuwa mkeo wa baadae.....
UTARATIBU
Kijana katika kipindi hiki ni muhimu sana kufanya uchunguzi wa siri kabla ya kufanya uchunguzi wa wazi kivipi na kwa sababu gani? Unaweza ukafuatilia mwenendo wa msichana kwa siri bila yeye mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.