TYPIN ERRAH
Member
- Mar 9, 2013
- 41
- 23
Jamani tupeani connection za kusaidiana maisha sasa ni magumu sana lakin kuna watu tukisema maisha magumu mnahisi ni ndoto jaman tusaidiane watu wakati mwingine tunadhalilika kwa vitu vidogo sababu ya pesa tu..... Tufundishane jinsi ya kuvua samaki kuliko kupeana samaki