Hivi habari kama hiyo isiyoeleweka, wala kuwa na ushahidi inapataje nafasi humu?? Napata shida kuwa mwishowe hili litakuwa jamvi la kila mwenye hisia tofauti na mtu then ni sehemu yake (jukwaa lake). Hembu toa maelezo ya maana yenye ushahidi tuelewe unamaanisha nn!
uchimbaji wa uranium hauhusishi milipuko yeyote. geology ya formation yake ni purely kwenye soft rocks. napata wasiwasi na kwamba taarifa hizi ni za kweli au ushabiki zaidi.
kuna ubaya gani?? its an employment oppurtunity ambayo anadhani anaiweza na jamaa anaihitaji.barrick wamefika lini nchini?? je yeye alikuwa nani wakati huo??
Vilevile kumbuka Ole naiko ni mdau mkubwa wa sector ya madini. ndiyo proffesion yake na amekuwa manager wa miradi mingi tu ya serikali ya...
We nafasi yako ni kuandika tu hapa jamii forums, hakuna aliyediriki kwenda mbele zaidi ya kuandika tu pale alipookotwa kule porini. Cha ajabu akiwa kwenye khali ile madaktari wote wakatii amri na kurudi kazini. Nani kamsaliti mwenzie?? Tusiwe wanafiki. Ulimboka fanya shughuli zako nyingine, hii...
Nadhani unamaanisha mining industry Tanzania should employ only foreigners and those are the one to appreciate growth. I think we should take mining oppurtunities kama oppurtunities nyingine zezote za employment na we shouls support and congraturate wale watanzania wachache wanao grow kinafasi...
Wana jamvi! Msaada tutani.
Hv kitendo cha kupiga kura ya kumchagua rais je nikumpa ajira asimamie chombo chetu kinachoitwa serikali au ni kumpa ruksa ya yeye kuwa mtawala wetu?? Its serious naitaji msaada. Inanichanganya kidogo.
Pili: mbunge ni kiongozi au ni muwakilishi wa wananchi tu...
No matter what, I still believe on Mkapa's capacity. Hv kwa khali ya mashirika ilivyokuwa yalikuwa yakisurvive kwa ruzuku ya serikali.mishahara ilikuwa 3yrs watu hawajapata mishahara. Serikali haipati kodi unadhani yangekuwa wapi leo hiii??
Na hayo mnayosema yalikuwa yanaenda vizuri mlitaka...
I totally agree with you mama D. sioni mazingira ya huyu mtoto kudhamiria. Yawezekana kabisa hajahusika kwa namna yeyote, labda ni mazingira tu yamemfanya ahusishwe. sie wote tunayafanya aliyoyafanya huyu binti na kanumba. tunagombana sana na mengineyo. Nadhani tunapaswa tuwaonee huruma kanumba...
Mtemiwao nadhani ww ni gamba. Hayo matusi tena humu JF ya kumwambia jamaa "hao mabwana zao" sidhani kama ni sehemu yake. Umekuwa Lusinde??
Haya yote si kosa la muwekezaji, hii ni nchi, serikali ndiyo iliyoruhusu haya kwa njaa ya baadhi ya maofisa. Jk, Mkapa and others on decision making level...
Aisee, ukiangalia ile picha mh wa CCM lusinde akihutubia, utaona watoto wote walipigwa na butwaa! walishtushwa ili khali watu wazima wakichekelea. Aisee kweli watoto wameona huyu jamaa ni mtu wa ajabu, na yamkini hana akili lkn watu wazima wanamuona kama vile ni shujaaa??
Yah, lkn tatizo ni sheria tulizonazo. Zina mruhusu mwenye uwezo kufanya exploration maeneo aliyoyaomba na kuyapata kwa kufata taratibu au hata kuyanunua kwa watu. Na akiisha ingiza pesa yake akapata kiasi cha kutosha kujistfy kuanza uchimbaji definately ataanza kwani ndo njia pekee ya yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.