Kugoma kwa Wafanyakazi Strabag: Pesa zao zadaiwa kuchotwa na Kinana!

Wakuu habari?

Nikiwa katika kuanza majukumu yangu sasa, nikapokea taarifa nzito kutoka kwa mmoja wa officer wa idara ya fedha starbarg kuwa

"Mgomo wa wafanyakaz wakudai pesa zao umesababishwa na KINANA katibu mkuu wa CCM kuchota pesa za starbarg nakuanza ziara zake zote. pia ata sherehe za muungano pesa zimechukuliwa za starbarg, nakuacha coy hiyo ikiwa haina pesa kabisa"

Pia hapo nyuma niliambiwa pesa ya coy hii ilikuwa inakuja direct to Starbag account under BOT (ndio kasi ya kujenga barabara ilikuwa faster sana na ata wajerumani walikuwa wanaonekana barabarani), serikar hikakata utaratibu huo na ikawa ni from WB to BOT, HAZINA to wizara ujenz then starbarg na kusababisha pesa kukosekana kwa wakati na ndio maana kasi ya ujenzi imepungua sanaaa sasa!

Tanzania bado sana.
Tutafakari Tunaelekea Wapi!
Khaa!!! Hii ndiyo aina ya thread ambayo Heche na mabavicha yote wanazipenda sana, kwasababu ndiyo kikomo chao cha kufikiri. Napendekeza tuandamane Kinana arudishe pesa zetu. Karibuni mibavicha yote
 
Mna haribu sana hadhi ya JF kwa kuandika vitu vya kijinga! Kinana atachukua hela hiyo ni kampuni yake????
 
Uzandiki wa kijinga kabisa huu

mimi nilijua utaanza kwa kuonyesha/kukanusha kuwa huo mlolongo wa malipo sio wa kweli alaf utwambie ukweli ni upi? ccm chakavu waliochota pesa za epa si ajabu na hzi wamechota tuuuu.....srkl hovyo sanaaa cjui magufuri hataeleza nn bungen
 
Nadhani hisia zako si sahihi kwani fedha za World Bank si rahisi kuzitafuna kwa njia hiyo. Miradi ya barabara inakuwa na mshauri wa usimamizi wa ujenzi ambaye ndio anahakikisha kazi imekamilika inavyostahili ndo anapitisha certificate kwa ajili ya malipo. Mkandarasi anatakiwa awe na vyanzo vyake vya mapato kwa ajlili ya kazi husika hulipwa pale tu anapokamilisha sehemu ya kazi. Kukosa pesa za kulipa wafanyakazi wao hakuhusiani. Serikali hukopa kwenye mabenki na mifuko ya jamii si kampuni binafsi.

chini YA CCM HAKUNA KINACHOSHINDIKANA .
 
Nadhani hisia zako si sahihi kwani fedha za World Bank si rahisi kuzitafuna kwa njia hiyo. Miradi ya barabara inakuwa na mshauri wa usimamizi wa ujenzi ambaye ndio anahakikisha kazi imekamilika inavyostahili ndo anapitisha certificate kwa ajili ya malipo. Mkandarasi anatakiwa awe na vyanzo vyake vya mapato kwa ajlili ya kazi husika hulipwa pale tu anapokamilisha sehemu ya kazi. Kukosa pesa za kulipa wafanyakazi wao hakuhusiani. Serikali hukopa kwenye mabenki na mifuko ya jamii si kampuni binafsi.

Kwa maelezo hayo hayo uliyoyatoa, sasa kama mkandarasi amemaliza eneo husika la kazi na anatakiwa alipwe hajalipwa pesa zake, unafikiri haitamuathiri kwenye kazi inayoendelea?

frema120 keshasema ni tetesi, lakini pia ameelezea jinsi ambavyo mfumo wa malipo kutoka WB umebadilika, hapo mwanzo malipo yalikua yanakuja moja kwa moja kwa mkandarasi kutoka BoT, kwa mujibu wa mleta uzi, sasa hivi yanapitia hazina kwenda wizara ya ujenzi ndio yaende kwa mkandarasi.

Sasa kama serikali wametumia hizo pesa kwenye mambo mengine na kutokumlipa mkandarasi hauoni kwamba kwa njia moja ama nyingine inamuathiri mkandarasi?

tatizo watu wakisikia Kinana wanafikiri kaenda pale StarBag na kuchukua pesa directly kutoka kwa mhasibu wao badala ya kuangalia mzunguko mzima wa malipo kutoka WB umekaaje na Kuona mianya ya serikali kufanya chochote ilivyo mingi ukizingatia mifano ya madudud kama hayo yaliokwisha wahi kutokea huko nyuma, kwa uchache EPA, Meremeta, Kagoda n.k.
 
Last edited by a moderator:
Ata mimi namuogopa sana kinana kwa mengi? wee mtu unapiga pesa za watu na kuanza kuzurula nazo tuuu! inauma sana nilichoandika kuna kaukwel hivi!

Deal za kinana ni pembe za ndovu.:banghead::banghead::banghead::banghead:
 
kalale ukiamka akili itachangamka, hivi unadhan serikali haina pesa mpaka iende kuiba pesa za wafanyakazi kwenye kampuny ifanyie sheree za muungano, pesa ipo, jiulize bunge la katiba wanalipwa 300,000 kwa siku hiyo ela inatoka wapi, nenda hazina ndio utajua pesa ipo

Mkuu, unajielewa au??? Huko kwenye red Inaonyesha Jinsi ambavyo watu wengi wana mawazo na fikra nyepesi sana na nchi hii. Sitaki kujua juu ya hayo ya kuchukua pesa ila ni hili la wewe kutojua jinsi serikali inavyohaha kukopa hata mpaka kwenye mabenk binafsi. Hazina wangekua na fedha bila mikopo inayotishia uchumi wa nchi inayokaribia Trilion 40!! Ungelijua deni la taifa lako usingeufungua uso wako kwa maneno kama hayo
 
natumia hii kitu mkuu
ipsas on my office sijui nitakuwa sijui utaratibu wa uendeshaji serikarini.

Zile pesa za miradi, accounts, epa, kutolipa salary watumishi, kwanin bugdet inakuwaga difficit na wakati ilikuwa balance/ surplus n.k unajua pesa yake inakwendaga wapi

acha siasa kila jambo, pesa zimechotwa tena kwa kasi kubwa sanaaaaaaa, kwani si kweli kasi ya road kujenga imepungua kwanini wafanyakazi wagome wakati pesa world bank wametoa zote

baki hivyohivyo!
Rudisheni pesa haraka.

hujui kitu.miradi yote ya world bank pesa inalipwa moja kwa moja kwa mkandarasi tena baada ya kupata certificate.mfano kipande cha kilomita 1 kimekamilika,inatengenezwa certiicate kwa bei iliokubaliwa kwenye mkataba inalipwa.sasa wewe unaposema dola zote milioni 120 wamelipwa serikali labda uje na ushahidi badala ya kudanganya watu humu
 
hujui kitu.miradi yote ya world bank pesa inalipwa moja kwa moja kwa mkandarasi tena baada ya kupata certificate.mfano kipande cha kilomita 1 kimekamilika,inatengenezwa certiicate kwa bei iliokubaliwa kwenye mkataba inalipwa.sasa wewe unaposema dola zote milioni 120 wamelipwa serikali labda uje na ushahidi badala ya kudanganya watu humu

Nawe umedandia gari tu ujui kitu, soma thread yang inasemaje kwa makini sio unakuja sijui certificate unaeleza jambo lingine mimi nasema jambo lingine....fungua thread yako!
 
Back
Top Bottom