Wadau naomba mnisaidie majina ya shule nzuri za girls kwenye hyo mikoa tajwa hapo juu, nina mwanangu nataka nimepeleke moja ya hyo mikoa kwa in urahisi wa maisha ya familia
hellow wanajamvi,
Najua wengi wetu tumetumia aina nyingi za simu, ninachotaka kujua ni ipi kati ya hizo ulizowahi kutumia unadhani kwako ndo ilikuwa bora zaidi kuliko zingine hata kama ndo unayotumia sa hivi, ukitoa na sababu chahce sio mbaya kuna jambo nataka kuliangalia.
mimi kwa upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.