Dini maana yake ni Imani, na Imani maana yake ni kuwa na hakika wa mambo yatarajiwayo . sasa kama nyie hamna dini inamaana hamna hakika na mambo yatarajiwayo ? Mbona sasa mnahubiri mambo ya Imani kama nyie hamna Imani?
Shikamoo! nimestuka sana kuona kwamba umemaliza degree yako muda ambayo hata kuzaliwa sijazaliwa, lakini nimesikitika sana kuona na umri wako wote huo unaongea vitu ambavyo havina mashiko kabisa na msomi wa ukweli akiwa objective hawezi kukubaliana na stereotyping kama hii ya kwako. pengine...
kama wewe ni mwanasheria basi utakuwa mwanafunzi wa mwaka wa 1 au 2 coz hata maadili ya taaluma bado huyajui! huwezi kumuita mwanasheria mwenzako ziro , Buyu!
sasa ngoja nikupe darasa kidogo , hiyo doctrine ya privity to contract ( sio privity of contract kama ulivyoandika) lazima ui...
ushauri mzuri kwao waambie waende kwa mwanasheria ili awape ushauri unaofaa baada ya ku disclose facts zote.kwa kuwa nawewe ni third party hutaweza Ku disclose facts zote zinazohusu hilo jambo.
mwanasheria kabla hajatoa ushauri atakuuliza maswali mengi sana ili ajue kila kitu then anakupa ushauri
Wewe mwenyewe jinsi yako haijulikani kama ni ME au KE , unaweza pia kuwa ni mdada coz Assistant Tutors wakike nao wapo wengi tu. kuondoa utata anza wewe kwanza
Mambo mengine unatakiwa kujiongeza mkuu sio lazma akueleze ujinga woote alioufanya.ukijiongeza tu utajua kwamba kwanini alikubali wampeleke hadi alikofikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.