Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
- Thread starter
- #21
hamna mkuu kwa mimi ninavyomjua ni Mtu safi sana ila tatizo ananiboa anavyojisifia tu!Ni choko tu huyo!
hamna mkuu kwa mimi ninavyomjua ni Mtu safi sana ila tatizo ananiboa anavyojisifia tu!Ni choko tu huyo!
wakuu huyo Genius kamaliza mwaka wake wa kwanza hapo CoET civil eng. na anatufundisha kwa muda Adv Maths hapa azania(Yupo vizur mno kwny hili somo) , ila ana tabia ya kujisifia sifia mfano kaweka historia hapo UDSM kutokana na moja ya performance yake na mengine mingi, je ni kweli huyu jamaa ni genius kama tunavyoamini au anatudanganya tu!
Poa poa nimeamini sasa kama huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali!kaka BATTERY LOW huyo jamaa n fundi mbaya.yaan m namkubali sana.alpokuwa 4M 5 alkuwa anatukatia mapnd sisi 4m 6.hebu imagin????.alpangwa special school ila akaamua kurud azania ili kurudsha heshma ya shule.
Hamna he is a genius enough! Nishathibitishandege ulaya kamaliza form six 2012 azania na alipata div 2,,,,ana uwezo wa kawaida
4m 5 anawakatia mapindi form 6! hahahaha dah huyu jamaa kiboko!kaka BATTERY LOW huyo jamaa n fundi mbaya.yaan m namkubali sana.alpokuwa 4M 5 alkuwa anatukatia mapnd sisi 4m 6.hebu imagin????.alpangwa special school ila akaamua kurud azania ili kurudsha heshma ya shule.
Hamna he is a genius enough! Nishathibitisha
Hamna mbn nishaongea na jamaa aliyemaliza nae PM. Lakin mkuu nimekuelewa ulichosema,Sor for interrupting your eng fields!Umeuliza swali,umepewa jibu na wanaomjua unabisha!kumbe ni mwenyewe umekuja kujipa promo!First year ameweka rekod ya nini COET?piga shule dogo usidhani chuo ni sekondar za kata.
Kweli Engineering imeingiliwa enz zetu za FOE hakukua na watu wa hivi yaani Msambichaka,Mayo,Bagile,Chambega,Mwandosya,Runyoro nk wangekula kichwa chako faster
UMEJUAJE MKUU? Yani you are absolutely correct!!! Yani wewe ndio genius sasa.Mleta mada badala ya usome anachokufundusha wewe unafuatilia maisha BINAFSI YA MWALIMU! Mwakani tutakuon hapa unauliza:"je kwa point hizi....nitapokelewa" Santa Agast?"
Dah halafu tena kirefu kushinda vyote, nyie Magenius sijui mulikua mumejifichia wapi siku zote hizo!pipo lyk u r da reason why we have the middle finger at hand....
Mleta mada badala ya usome anachokufundusha wewe unafuatilia maisha BINAFSI YA MWALIMU! Mwakani tutakuon hapa unauliza:"je kwa point hizi....nitapokelewa" Santa Agast?"
Akiwa Genius au Hasipokuwa genius wewe inakuathiri nini? kama kujisifia na wewe jisifie ili muwe droooo.
wakuu huyo Genius kamaliza mwaka wake wa kwanza hapo CoET civil eng. na anatufundisha kwa muda Adv Maths hapa azania(Yupo vizur mno kwny hili somo) , ila ana tabia ya kujisifia sifia mfano kaweka historia hapo UDSM kutokana na moja ya performance yake na mengine mingi, je ni kweli huyu jamaa ni genius kama tunavyoamini au anatudanganya tu!
kaka BATTERY LOW huyo jamaa n fundi mbaya.yaan m namkubali sana.alpokuwa 4M 5 alkuwa anatukatia mapnd sisi 4m 6.hebu imagin????.alpangwa special school ila akaamua kurud azania ili kurudsha heshma ya shule.
4m 5 anawakatia mapindi form 6! hahahaha dah huyu jamaa kiboko!
Umeuliza swali,umepewa jibu na wanaomjua unabisha!kumbe ni mwenyewe umekuja kujipa promo!First year ameweka rekod ya nini COET?piga shule dogo usidhani chuo ni sekondar za kata.
Kweli Engineering imeingiliwa enz zetu za FOE hakukua na watu wa hivi yaani Msambichaka,Mayo,Bagile,Chambega,Mwandosya,Runyoro nk wangekula kichwa chako faster