Ukiingia katika account yako katika tovuti , kisha ukilogin watakuambia pia vitu ulivokosea na kuweka nafas ya wewe kurekebisha !
https://olas.heslb.go.tz
Habarini wadau ! Naimani mpo poa na wazima wa afya , nlikuwa kati ya waombaji wa mkopo mwaka huu ujao wa masomo. Baada ya uhakiki leo nimepata list kwamba - APPLICANT IDENTIFICATION DOCUMENT iko invalid. Nlikuwa naomba kujua shida ni nini ? Na wanahitaji nini heslb as an identification document...
Kuna kitu kinaitwa Trial of scar (Kujaribu kujifungua kawaida baada) / VBAC (Vaginal birth after caesarian section).
Ni hivi ukiwa na operation moja kuna uwezekano wa kukujaribu na kukuruhusu ujifungue kwa njia ya kawaida kwa mimba ya 2, lakini ukiwa umefanyiwa operation 2 ( yaani una 2 scars )...
You need to see a psychiatrist akusaidie.
Kuna vitu kama anti-depressants , lakini pia kuna therapies unaweza ukapewa na ma psychiatrist kama CBT (cognitive behavioural therapy ikakussaidia)
Achana na haya mambo ! Mkapime mkojo wote kisha anzeni dawa kwa pamoja ! pia inawezekana kabisa kwa unavosema inatoka harufu kwenye mkojo sio kweli ; harufu inatoka mara nyingi iwapo kuna infection kwenye njia ya uzazi , hapo lazima mkapime pia magonjwa ya zinaa (STI's) lakini pia , ungemshauri...
Kama anajipu kwenye ubongo (brain abscess) angekuwa na dalili kama : Kupata homa, dege dege, kupoteza fahamu, kuona ukungu, kichwa kuuma n.k. Hizo ndio dalili za Brain abscess; Hii inaonekana kwa kipimo cha CT scan ya kichwa.
Damu kutoka kwenye makamasi inasababu nyingi sana na yenyewe. Ni...
Kumn'gata matiti kunaweza kukasambaza VVU iwapo kutakuwa na mchubuko wa ngozi na kuruhusu damu iingie mdomoni wakati wa kumnyonya. Kwa kifupi pia jua kwamba VVU kusambaa kupitia mate ni nadra au haiwezekani kabisa.
Ila shida inakuja iwapo ni damu , damu ndio tatizo. Ila pia kuna chancce kwamba...
Habarini wakuu ! Hili nahisi ni tatizo kubwa sana kwa watu wengi hapa nchini ... Nlikuwa naomba kujua kama kuna internet ya mtandao wowote ambayo ni ya kuchakachua au halali ambayo unaweza pata MB's nyingi kwa bei nafuu. Naombeni msaada !!
Habarini wana JF kuna wimbo mmoja hivi nlivokua mdogo nlikua nauskia na nautafuta sana una lines kama hizi..
Haya maisha nayoishi mimi , yananichanganya saana sijui niendapo wala nitokapo nini maana ya maisha ...
Ndo nakumbuka sehemu hio ya wimbo, naomba kama unajua comment hapa please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.