Search results

  1. Caashiere

    Ni msomi gani nchini, unadhani amechangia kutufanya maarufu kimataifa kupitia Uvumbuzi na Usomi wake

    Naomba urudie kusoma ulichoandika Mara tatu tu, utagundua ulipokosea
  2. Caashiere

    Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

    Kumuandaa daktari it takes years. So haiwezekani, akitoka mmoja mwingine aje tu kwa haraka. Ndio anachoomba. Kwa sasa angechagua tu wengine. Labda mbaka watakapofikia idadi nzuri tena
  3. Caashiere

    UDSM Programming - Hawajui kwenda na wakati

    ingia www.w3schools.com
  4. Caashiere

    ITV wanapotosha matokeo ya uchaguzi

    Rekebisha hapo, Hawatangazi matokeo yaliyotangazwa na tume, Wanatangaza matokeo yaliyotolewa na wakurugenzi majimboni. Elewa uhuru wa vyombo vya habari na wajibu wake. Kawafungulie mashitaka uone. Utawalipa fidia tu...
  5. Caashiere

    Sauti ya Ujerumani ifungiwe matangazo yake Tanzania

    Muifungulie mashtaka muone... Kama hamjafichua siri zenu zote. Na mkaishie jera. Sauti ya ujerumani. Ha Ha Ha. Viva UKAWA.
  6. Caashiere

    Napinga vikali ushindi Diamond MTVEMA, Ni hujuma dhidi ya Sanaa ya Mwafrika

    Hujielewi wewe, Unaweza kukibaliwa na Jay Z. Ila ushindani ukatoka nje. Ielewe sanaa... Usiendeshwe kwa ushabiki.
  7. Caashiere

    Vodacom WAP.Ni sababu ya kuhama mtandao!

    Mi nasepa na WiFi tu huku network mizinguo sahiz dah
  8. Caashiere

    Jahazi lazama Nungwi, Zanzibar leo

    Pole Tanzania, usafiri wa maji unahitaji marekebisho kidogo.
  9. Caashiere

    Ubalozi wa Kenya wamkana anayedaiwa kumteka Dr. Ulimboka!

    Ni nafasi nzuri ya serikali kujua wananchi wa leo wana uelewa mkubwa juu ya serikali na uongozi kwa ujumla. Muongo siku zote awe na kumbukumbu. Ee Mungu ntumie email yako nipate kukutumia matukio na picha za uovu wa serikali yangu.
  10. Caashiere

    Deni la Taifa: Kutoka trilioni 10.5 hadi trilioni 14.4 kwa mwaka?

    tuwe na mikakati imara yenye faida kwa taifa. Siyo tu kujenga mradi fulani katika jimbo fulani sababu mtu fulani ni mbunge wa pale na aliwaahidi wananchi vile. Madeni siyo ishu...
Back
Top Bottom