MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA NI NDOTO MFANYAKAZI WA BONGO
Nawasalimu wote mnaoanza kusoma ujumbe huu. Salamu za kipekee zimfikie rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli kwa juhudi zake anazozifany katika kupambana na ufisadi na kupigania maendeleo ya mtanzania na kuja na kauli ya maisha...
Year of Manufacture: 2004
Imported year: 2011
Woodentim
CD/DVD/FM
CC: 1990
Fuel : Petrol
Transmission: Automatic
Seat: 7
Reversing sensor
Camera
Fog Lamp, alloys, No accident, in top condition, AC, Power mirror, comprehensive insurance paid up to May 2015
Multifunctional steering
Projector...
Kuna kiwanja chenye ukubwa meta za uzio 1043 maeneo ya mwongozo Kigamboni.Kwa anayehitaji awasiliane na namba ifutayo mtaelewana bei na mengineyo.0754-210270
Gari Inauzwa bei nzuri. Wasiliana na 0756 769741
Mitsubishi dingo
Price - Tshs 5.5m
Air Conditioning, Airbag, Power Window, Power Steering, Power Mirror,
AntiLock Brakes, Central Locking, Electronic Fuel Injection,
EngineSize - 1463cc,
Year 1999,
Fuel Petrol,
Color - maroon,
Steering -...
Contact: 0756769741/0713403679
Bei: 6,500,00/= Tsh.
Year: 1998
Doors: 5
Seats: 7
Air Conditioning
Power Window, Power Mirror
Central Locking
Electronic Fuel Injection
Power Steering
Airbag
Wajameni ni jambo la kushangaza na kwa upande mwingine kusikitisha.
Nashindwa kuelewa kama CRDB wamechoka wateja au wametosheka na kipato hivyo kutokujali tena wateja wao. Amini usiamini mpaka leo hii tarehe 7.6.10 kuna watu wengi sana ambao mishahara yao inapitia CRDB hawajapata mishahara...
Ni muda mrefu tumekuwa tukimsikia Mheshimiwa Makufuli akiwataka wavuvi wanaotumia nyavu ndondogo wengine wanaita korokoro wazisalimishe au wakikamatwa watachukuliwa hatua za kisheria. Kimsingi wavuvi hawa wamekuwa wakijipatia riziki zao za kila siku kwa nyavu hizo ndogondogo. Sasa wengi...
Awali ya yote ningependa kutoa salamu kwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kuweza kukaa kimya na kuangalia nguvu kazi kubwa ikiwa inapotelea barabarani mbele ya kanisa la Kakobe.
Hivi anawaonea haya au anashindwa kuelewa ya kwamba kuna sheria ya nguvu kazi? Ningelikuwa mimi wote hao wangekuwa...
Wana JF waliokwishatembelea Moshi au wanaotokea Moshi wanakumbuka ama wameambiwa mengi kuhusu maendeleo ya Jimbo la Vunjo tangu Mrema alipohama CCM na kuingia upinzani. Kwa wale wasiojua naona niwajuze kidogo. Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya Ndani alikuwa mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini...
Wana JF kuna jambo limekuwa likinisumbua sana kwa siku nyingi. Kila niendapo kanisani huwa najaribu kuangalia dada zetu wanavyovaa na huwa najiuuliza maswali mengi sana. Nashindwa kuelewa kama wanaenda kuuza sura kanisani au wanaenda kusali. Mfano mzuri ni kanisa la chuo kikuu cha Dsm. Hapa kuna...
Kuna mwana Jf nilijaribu kumtumia j'ment hiyo attachment ikagoma.Nilisahau kuwasiliana na watu wa IT. Sasa nimeivunja mara tatu najaribu nikishindwa mnipe ushauri tafadhali.
Wakuu nimepitia andiko takatifu na kukuta kumbe kila kiongozi anatoka kwa Mungu kwa hivyo aheshimiwe na kupendwa. Warumi 13: 1. Unasema 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu na ile ilyopo imeamriwa na Mungu.' mstari 6-7 inasema ' Kwa sababu hiyo tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.