Kuna mwana Jf nilijaribu kumtumia j'ment hiyo attachment ikagoma.Nilisahau kuwasiliana na watu wa IT. Sasa nimeivunja mara tatu najaribu nikishindwa mnipe ushauri tafadhali.
Kuna mwana Jf nilijaribu kumtumia j'ment hiyo attachment ikagoma.Nilisahau kuwasiliana na watu wa IT. Sasa nimeivunja mara tatu najaribu nikishindwa mnipe ushauri tafadhali.
kama ipo kwenye Word iweke kwenye pdf kama una adobe acrobat 9 Pro.
au uniruhusu nikutumie private massage (pm) ili nikupatie e-mail yako ili unitumie nami nitaiweka hapa baada ya kuiweka kwenye pdf. Hii itawezekana kama file zipo chini ya 10MB kwani e-mail hazitumi zaidi ya hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.