Zitto: Mbele ya Mkuu wa Nchi, Makonda amewabagaza wabunge ikiwemo wewe mwenyewe. Lakini maelezo unayoyatoa ni kana kwamba wewe si mkuu wa mhimili. Tunaomba mwongozo wako juu ya hili....
Spika: Kiongozi huyo (Makonda) hajitambui na wala hajielewi. Ni bahati mbaya sana tuna viongozi wa serikali...
Uongoz ni Karama au mamlaka ya kuwaonesha watu njia Kwa vitendo.
Siku zote namuomba Mungu asinipe utajir wa Mali, isipokuwa anitajirishe Kwa kuwa na Maarifa, hekima na busara
Kipimo cha uongoz ni jinsi kiongoz anaweza kuleta ushawisji Kwa watu na kufikia maendeleo tarajiwa.
Uongoz ni taaluma...
Heshima kwenu wenye mji
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG kamanda Muroto na Jeshi LA Polisi wamechakazwa vibaya
Lkn sio haki nyie watu
Tukitaka kuandamana mnatutisha Kwa kipigo cha mbwa koko
Na kwenye pesa zetu mnatupiga na kutuchakaza vibaya
Hii dhambi mtaitubia wapi?
Sent using Jamii Forums...
Amani iwe nanyi,
Km ww mzalendo itikia Taifa kwanza Leo na Kesho
Sina haja kusema sana km kichwa cha habar kinavyosomeka na picha hii inajieleza yenyewe
Hongera Act Wazalendo
Hongera Zitto Kabwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu
Hata tusipoenda kula tunda hayo machache tu naridhika, Ama Kwa hakika naweza nisiwe peke yangu mwenye kupenda vilivyotajwa hapo juu
Naamini tuko wengi muno si Wazee wala Vijana, wakitendewa ama kufanyiwa hayo majambo (achana na pesa kwanza) wanajisikia burdan kabisa.
Ongezea...
Wanaume wa Leo mkoje, mbona mnalalama sana?
Nyuzi nyingi mno za kulalamika mnaandika, kwan mnataka mfanyiwe nn na Wanawake ili muache kulialia?
Mnaboa kishenzi,
Km vipi jibadilisheni muanze kuvaa magauni km mnaona Wanawake wanafaidi
Bure kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu mabibi na mabwana
Km kupigwa tunapigwa, km kichwa cha habari kinavyosomeka Kwa nia njema tu wale waliotwambia kitambulisho cha Taifa ni mradi uliokuwa na ufisadi ndani yake Kwa kitambukisho kimoja kugharimu Tshs 17,000 na ndio wale wale walipata kusema kitambulisho cha Mpiga kura...
Amani iwe nanyi sasa na hata milele
Kwa mawazo yangu hakuna haja ya kuwekeza nguvu nyingi kuendelea kujadili suala LA ushoga, mbona tuna mengi ya msingi? Kwann tusiwekeze nguvu huko?
Kabla haijaruhusiwa tayar tunamashoga kibao, wanaojionyesha kabisa na wengine wanaliwa kimya kimya kistaraabu...
Ni Imani ya Mu wazima wa afya na wenye nguvu, Aman iwe nanyi.
Km kichwa cha habari kinavyosomeka leo natoa yangu yamoyoni na wenye mapenz mema na nchi yetu wataniunga mkono.
Kila siku tunaimba, tunaomba, tunawaza kupata maendeleo, lkn ni ukweli ulio wazi kwamba maendeleo hujengwa na historia...
Aman iwe nanyi
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nashangazwa nakusikitishwa na baadhi ya wanaume kupenda mteremko,
Kwa watu wa pwani si ajabu, lakini vipi wanaume wa bara? mnaojinasibu kwamba ninyi watu wa kazi, imekuaje?
Mnatia aibu, mnakoelekea baadhi yenu mtatamani kuvaa magani
Sent...
Yupo Kabadili jina? Au wasiojulikana wamesepa nae, maana kuna wakati alianza kuwa maarufu mpaka kwenye magazeti ukiachilia humu JF
Nimeuliza tu maana ni mjamaa mwwnzetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.