habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Amani iwe nanyi sasa na hata milele
Kwa mawazo yangu hakuna haja ya kuwekeza nguvu nyingi kuendelea kujadili suala LA ushoga, mbona tuna mengi ya msingi? Kwann tusiwekeze nguvu huko?
Kabla haijaruhusiwa tayar tunamashoga kibao, wanaojionyesha kabisa na wengine wanaliwa kimya kimya kistaraabu, mitaani wapo wengi mno, naamini mpaka maofisini na huenda hata baadhi ya viongoz wa dini ama wa serikali wapo watu wa aina hii.
Suala LA ushoga lingeachwa km lilivyo, kwani ni hiari ya MTU mwenyewe, wakati anaenda kubinuka huko gizan hashurutishwi na MTU.
Ukweli kwa hali ya dunia ya sasa hatuwezi kubadili kitu ktk hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mawazo yangu hakuna haja ya kuwekeza nguvu nyingi kuendelea kujadili suala LA ushoga, mbona tuna mengi ya msingi? Kwann tusiwekeze nguvu huko?
Kabla haijaruhusiwa tayar tunamashoga kibao, wanaojionyesha kabisa na wengine wanaliwa kimya kimya kistaraabu, mitaani wapo wengi mno, naamini mpaka maofisini na huenda hata baadhi ya viongoz wa dini ama wa serikali wapo watu wa aina hii.
Suala LA ushoga lingeachwa km lilivyo, kwani ni hiari ya MTU mwenyewe, wakati anaenda kubinuka huko gizan hashurutishwi na MTU.
Ukweli kwa hali ya dunia ya sasa hatuwezi kubadili kitu ktk hili
Sent using Jamii Forums mobile app