habari ndugu mwana jf,nina tatizo dogo ambalo linanishnda kulitatua,ni kwamba nimeinstall window 8 katka pc,sasa shda ni kwamba maandish bdo makubwa kiasi kwamba pc haivutii kabisa,nahisi tatizo ni graphics,naomba msaada kutatua tatizo hili.
heshima kwako mkuu unayepita kuiangalia thread hii,. . .pc yangu ni hp pavillion dv 6700,tatizo lake ni kwamba webcam yake haionekani katika devices and printers,nadhani tatizo ni kwamba inamiss driver yake,sasa naomba msaada wako kama naweza pata hyo driver hapa ili webcam yangu iweze kufanya...
Hip hop ni utamaduni,na kila utamaduni una nguzo zake(aspect of culture)zipo tano katika hip hop.RAP ni Rhythm And Point,part of hip hop aspect.hivyo mwana hip hop anatakiwa arap kwasababu ndio type of song kwenye utamaduni wao,ni kama ilivyo kwa ras tafari aina ya mziki wao ni raggae pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.