Kama meangalia kwa makini katika magazeti yaliyotoa picha za rais akifunga bunge LA muungano, pamekuwapo na utofauti wa picha moja rais akiwa na tai ya madoa mekundu na nyingine inaonyesha akiwa na tai ya rangi nyekundu plain, vivyo hivyo kwa spika ambaye picha moja amesuka na ingine yuko na...
Mara Kadhaa kumekuwapo na kundi la wateule wa rais wanaoondolewa ktk nyadhifa zao na kuambiwa watapangiwa kazi nyengine,
kwa bahati mbaya mara nyingi hatupati mrejesho wa kazi nyengine walizopangiwa, kwa mfano mama sipora, licha ya kufanya kazi kwa uadilifu wa hali ya juu aliondolewa ktk...
Angeponda ukawa ungesema kinyume.
Binafsi mi ni mkatoliki ila nakerwa sana na siasa za huyu padre.kwann asivue gamba akafanye kwa Uhuru hyo siasa?anakera
Mi pia meambiwa tena na mtu wake wa karibu sana.hv kweli hawajui madhara yake ama ndo yanapofusha?hawaoni hata mfano kwa kina chidi? Nimesikitika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.