Kutofautiana kwa picha ya Rais: Ni kutojua ama hujuma kwa taifa?

Dr. Ndimu

JF-Expert Member
Oct 30, 2012
725
146
Kama meangalia kwa makini katika magazeti yaliyotoa picha za rais akifunga bunge LA muungano, pamekuwapo na utofauti wa picha moja rais akiwa na tai ya madoa mekundu na nyingine inaonyesha akiwa na tai ya rangi nyekundu plain, vivyo hivyo kwa spika ambaye picha moja amesuka na ingine yuko na mtindo wa afro na zote zimeandikwa kwamba no za za tukio la kuvunja bunge.

Na ukweli nimejastukia picha isiyo sahihi kwa maana isiyo ya tukio la Jana imeandikwa kwamba imetoka ikulu,ndo najiuliza ni makosa ya kibinadamu ama hujuma kwa mh rais wetu? Na kwann wahusika hawako makini?
 
Kama meangalia kwa makini katika magazeti yaliyotoa picha za rais akifunga bunge LA muungano, pamekuwapo na utofauti wa picha moja rais akiwa na tai ya madoa mekundu na nyingine inaonyesha akiwa na tai ya rangi nyekundu plain, vivyo hivyo kwa spika ambaye picha moja amesuka na ingine yuko na mtindo wa afro na zote zimeandikwa kwamba no za za tukio la kuvunja bunge.

Na ukweli nimejastukia picha isiyo sahihi kwa maana isiyo ya tukio la Jana imeandikwa kwamba imetoka ikulu,ndo najiuliza ni makosa ya kibinadamu ama hujuma kwa mh rais wetu? Na kwann wahusika hawako makini?

Tunahitaji ma curious kama nyie
 
Inabadili nini kwamba yeye ni Rais na mwenzake ni Spika?

Ww ucwe mjinga,angalia mleta mada kacmama upande gani,na ili umjibu ki usahihi huna budi kusimama upande wake ndio utaona ukweli.Yy anazungumzia UMAKINI na hazungumzii VYEO.
 
Ww ucwe mjinga,angalia mleta mada kacmama upande gani,na ili umjibu ki usahihi huna budi kusimama upande wake ndio utaona ukweli.Yy anazungumzia UMAKINI na hazungumzii VYEO.

Sijawahi kutukanwa na mtoto, nadhani umepitiwa tu nakusamehe bure spare muda wako kwa kufanya mambo yako huna adabu!
 
Kutumia picha za "from file" si kitu cha ajabu. Machapisho mengi duniani hufanya hivyo. Lakini miiko ya taakuma inataka ukitumia picha ya hivyo, uweke caption "From file" ili watu wajue kwamba hiyo picha ni ya kutoka maktaba na haikuchukuliwa kutoka kwenye tukio lililoandikwa.
 
Mkuu nyingine pengine ni kutoka maktaba, wapiga picha wao hawakuwepo katika tukio au waliona ndio inapamba ukurasa huo
 
wengine hatukuona utofauti vip mkuu unaweza kutupia hizo picture na sisi wengine tujionee
 
Kama meangalia kwa makini katika magazeti yaliyotoa picha za rais akifunga bunge LA muungano, pamekuwapo na utofauti wa picha moja rais akiwa na tai ya madoa mekundu na nyingine inaonyesha akiwa na tai ya rangi nyekundu plain, vivyo hivyo kwa spika ambaye picha moja amesuka na ingine yuko na mtindo wa afro na zote zimeandikwa kwamba no za za tukio la kuvunja bunge.

Na ukweli nimejastukia picha isiyo sahihi kwa maana isiyo ya tukio la Jana imeandikwa kwamba imetoka ikulu,ndo najiuliza ni makosa ya kibinadamu ama hujuma kwa mh rais wetu? Na kwann wahusika hawako makini?


Moja alipokuwa analifungua bunge la kumi(bunge la chama cha zamani) na nyingine akifunga bunge hilohilo tulikuwa tunakumbushwa si unajua watanganyika hatuna utaratibu wa kutunza kumbukumbu
 
Ww ucwe mjinga,angalia mleta mada kacmama upande gani,na ili umjibu ki usahihi huna budi kusimama upande wake ndio utaona ukweli.Yy anazungumzia UMAKINI na hazungumzii VYEO.

Kwani taswira za picha zao ni tofauti na maelezo ya chini au tai na nywele za Spika ndio zimekuchanganya?.Na kulijadili hili lina faida gani kwetu sisi wananchi,unafuatilia habari za tai wakati ungetakiwa kupigia kelele mama na Dada zetu wanajifungulia porini ?.Tujadili vitakavyotuelimisha lakini hili la tai umebugi kabisa na ni ujinga kupoteza muda kujadili tai za raisi..
 
Picha za wakubwa hustaajabisha. Picha ya Price Charles wa Uingereza kwenye sarafu inaonyesha ana nywele wakati mwenyewe ana upara. Picha rasmi ya Rais Muluzi ilikuwa doctored na kuondoa alama nyeusi ya kuzaliwa usoni kwake.
 
Back
Top Bottom