Mboni Masimba ajifungua mtoto wa kiume

hahahaaaaa.wewe ndio hujaelewa mkuu.Huyo ni binti wa kiislamu.Maadili ya uislamu mtoto na mama watakaa ndani siku 40 baada ya uzazi ndipo watatoka nje na kutuonyesha mtoto na mama yake.Na hapo hakuna kidole kilichoshikana ni picha tu ndio imetoka vibaya mkuu nadhani umenielewa.

uislamu hausemi hvyo kwmba cku 40 ila c vzr tu kupost pcha kwan kuna watu wana husda na vjcho
 
Mie najua watoto wa kikristo hata akizaliwa leo unamtupia tu picha yake ila kwa waislam strictly siku hizo then ndio tunamtoa mtoto tena kwa sherehe kubwa kumbe ni watu tu ndo wamejiamulia
 
Mie najua watoto wa kikristo hata akizaliwa leo unamtupia tu picha yake ila kwa waislam strictly siku hizo then ndio tunamtoa mtoto tena kwa sherehe kubwa kumbe ni watu tu ndo wamejiamulia

Uislam unaingiaje hapo sasa? Kama kweli angefuata dini huyo alitakiwa apigwe mawe mpaka afe? Why? Kazaa halafu hajaolewa!so? Mzinzi!!!...mnapowa discuss hawa wazinzi msiingize mambo ya dini wajadilini wenyewe tu na uzinzi wao
 
Uislam unaingiaje hapo sasa? Kama kweli angefuata dini huyo alitakiwa apigwe mawe mpaka afe? Why? Kazaa halafu hajaolewa!so? Mzinzi!!!...mnapowa discuss hawa wazinzi msiingize mambo ya dini wajadilini wenyewe tu na uzinzi wao

Unahukumu?
 
Mpen hongera pia Snura, hakutangaza ana mimba ili asikose show.wasanii wetu wana hatari
 
Back
Top Bottom