Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,289
Teh teh teh watu mnajua kupiga chabo.
Hahahahaha
Teh teh teh watu mnajua kupiga chabo.
hongera sana mboni kuitwa mama raha jamani regardless of the old age
babake nan?
Nani tena zaidi yako??au unajisahaulisha??
hahahaaaaa.wewe ndio hujaelewa mkuu.Huyo ni binti wa kiislamu.Maadili ya uislamu mtoto na mama watakaa ndani siku 40 baada ya uzazi ndipo watatoka nje na kutuonyesha mtoto na mama yake.Na hapo hakuna kidole kilichoshikana ni picha tu ndio imetoka vibaya mkuu nadhani umenielewa.
Mie najua watoto wa kikristo hata akizaliwa leo unamtupia tu picha yake ila kwa waislam strictly siku hizo then ndio tunamtoa mtoto tena kwa sherehe kubwa kumbe ni watu tu ndo wamejiamulia
Uislam unaingiaje hapo sasa? Kama kweli angefuata dini huyo alitakiwa apigwe mawe mpaka afe? Why? Kazaa halafu hajaolewa!so? Mzinzi!!!...mnapowa discuss hawa wazinzi msiingize mambo ya dini wajadilini wenyewe tu na uzinzi wao
hongera sana mboni kuitwa mama raha jamani regardless of the old age
Mhhh Binaadamu ! Kazi ipo ...Hongera Mboni hata Ungekuwa Bibi wa miaka 80 Ndio Mungu kakujalia kwa wakati wake Mama