Search results

  1. omereyo

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Inbox me pls.inaweza ukawa bahati yangu.
  2. omereyo

    Professional change

    Hello, I want to change my profession either partially or completely.for now i am clinical oriented.graduate holder of BSc Am fast learner,eager to learn new things(technical or scientific). Anyone who has idea,or vacant position.you are welcome
  3. omereyo

    Wanaume huwa mnaangalia nini mtafutapo mke?

    Wengine tunaangalia huyo mtarajiwa anashaurika,anabebeka,anaweza kubadili asili ya tabia fulanifulani,kichwani ana busara ,anatazama future itakuwaje. Sasa basi wadada hudhani tunaangalia uzuri,kope bandia,na vivutio vya mwili.hiyo ni kuwaweka mitegoni wanaume mwishoe mimba ndii....siku tatu...
  4. omereyo

    Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

    Daah aisee wadada zetu wengine wamekubuhu.unakuta mdada ana mabwana hawajuani.mmoja mkoa mwingine anapoishi.sasa basi mmojawapo anaingia kwenye kingi (anampa ujauzito)lakini anakuwa hapendwi kwakuwa haelewekieleweki. Sasa lile jamaa linaloonyesha walau linaeleweka kwa macho ya nyama ya huyo...
  5. omereyo

    Natafuta mkopo.

    Nahitaji mkopo wa riba nafuu.tunaandikishiana kila mwezi nakulipa.mkopo+riba igawanywe kwa mwaka mmoja.nina kibarua changu hapa dar.kwa utashi zaidi karibu inbox
  6. omereyo

    Mwonekano upi wa jinsia ya kiume ni ushoga

    Hivi nina swali,wanaume ambao ni 'wazuri', kwanini huhisiwa ni mashoga? Je,hakuna wanaume 'sura mbovu' wanaofanya hayo mambo? Kwanini wanawake hawahisiwi vitu hivyo? Aisee Tanzania ya sasa yenye vitoto vinavyowekwa insta toka vidogo tuviombee tu mmmmh.
  7. omereyo

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Hivi hizo channel za bure ni kiini macho au ?mbona bado tunalipia
  8. omereyo

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom na mitandao mingine embu boresheni mifumo yenu haswa pale mtu anapotuma hela kimakosa mtandao mwingine.masaa 72 kusubiria hela irudi ilipotoka ni inshu.halafu sasa hela kule ilipoenda kimakosa kama imeshatolewa rudisheni basi majibu hata kwa sms. Nilituma hela kimakosa kwenda voda...
  9. omereyo

    Nataka kuwa maarufu

    muharibie mange kimambi
  10. omereyo

    Usiruhusu kuumia kupita kiasi kwaajili ya mapenzi

    dah,ni kweli?waweza penda mtu kumbe interests zenu zipo tofauti.hapo ndipo wahenga wanasema moyo wa mpenzi wako kichaka.ukiweza kuusoma kwa ndani taratiibu unaanza kuuachilia.ila ukishindwa yatakayokukuta asikwambie mtu
  11. omereyo

    Ishara zipi zinamaanisha matamanio kimapenzi?

    1)Unakutana na mtu anakukonyeza alafu anajifanya mdudu kaingia machoni. 2)Staili mpya ya midume na mijike kutoa ulimi kwa kuuroll. 3)Kuuma mdomo kistaili flani hivi. Endeleeni kuongeza nyingine.
  12. omereyo

    kampuni -mikopo ya viwanja dar

    sikuhz kuna kampuni nyingi dar es salaam zinazojihusisha na mikopo tajwa hapo juu.ni nini kimefichika kwenye hizi kampuni.je,zimesajiliwa kwa shughuli hizo au ni utapeli mtupu wabongo wanalizwa?
  13. omereyo

    Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

    jiamini wewe.mbona hata mm ninao.kwahyo guu la bia ndio ushoga
  14. omereyo

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    okk,maana kuna kesi watu wameishi miezi mitano mwanamme kamfukuza hawara yake na kipigo juu.hawara anataka wagawane mali
  15. omereyo

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Ni jinsi ipi ndoa inakuwa halali kisheria mkipitisha miezi mitatu mnaishi tuu? Naisikiasikia lakini sina elimu kuhusu hili
Back
Top Bottom