Hello,
I want to change my profession either partially or completely.for now i am clinical oriented.graduate holder of BSc
Am fast learner,eager to learn new things(technical or scientific).
Anyone who has idea,or vacant position.you are welcome
Wengine tunaangalia huyo mtarajiwa anashaurika,anabebeka,anaweza kubadili asili ya tabia fulanifulani,kichwani ana busara ,anatazama future itakuwaje.
Sasa basi wadada hudhani tunaangalia uzuri,kope bandia,na vivutio vya mwili.hiyo ni kuwaweka mitegoni wanaume mwishoe mimba ndii....siku tatu...
Daah aisee wadada zetu wengine wamekubuhu.unakuta mdada ana mabwana hawajuani.mmoja mkoa mwingine anapoishi.sasa basi mmojawapo anaingia kwenye kingi (anampa ujauzito)lakini anakuwa hapendwi kwakuwa haelewekieleweki.
Sasa lile jamaa linaloonyesha walau linaeleweka kwa macho ya nyama ya huyo...
Nahitaji mkopo wa riba nafuu.tunaandikishiana kila mwezi nakulipa.mkopo+riba igawanywe kwa mwaka mmoja.nina kibarua changu hapa dar.kwa utashi zaidi karibu inbox
Hivi nina swali,wanaume ambao ni 'wazuri', kwanini huhisiwa ni mashoga?
Je,hakuna wanaume 'sura mbovu' wanaofanya hayo mambo?
Kwanini wanawake hawahisiwi vitu hivyo?
Aisee Tanzania ya sasa yenye vitoto vinavyowekwa insta toka vidogo tuviombee tu mmmmh.
Vodacom na mitandao mingine embu boresheni mifumo yenu haswa pale mtu anapotuma hela kimakosa mtandao mwingine.masaa 72 kusubiria hela irudi ilipotoka ni inshu.halafu sasa hela kule ilipoenda kimakosa kama imeshatolewa rudisheni basi majibu hata kwa sms.
Nilituma hela kimakosa kwenda voda...
1)Unakutana na mtu anakukonyeza alafu anajifanya mdudu kaingia machoni.
2)Staili mpya ya midume na mijike kutoa ulimi kwa kuuroll.
3)Kuuma mdomo kistaili flani hivi.
Endeleeni kuongeza nyingine.
sikuhz kuna kampuni nyingi dar es salaam zinazojihusisha na mikopo tajwa hapo juu.ni nini kimefichika kwenye hizi kampuni.je,zimesajiliwa kwa shughuli hizo au ni utapeli mtupu wabongo wanalizwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.