Search results

  1. M

    UHAMIAJI WATOA MAJINA

    Jamani kwa mlioomba Uafisa Uhamiaji Majina out chekini website ya jkt
  2. M

    Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

    Kaka kaka upo vizuri saannnaaaaaaaaaaaaaa
  3. M

    Uhalisia wa Maisha ya Ndoa

    Asante Kiongozi
  4. M

    Uhalisia wa Maisha ya Ndoa

    Wanajamvi namshukuru Mungu kwa uzima huu nilionao natoa mtazamo juu ya uhalisia wa maisha ya ndoa! Wengi wanaingia kwa kubipu ila hawajadhamiria,iweje uoe Leo hata wiki haifiki unafumaniwa ?hebu tuwe serious, iweje uoe Leo mwezi tu umuone mwenzio sio mzuri ?tuwe serious, iweje uoe Leo mwaka tu...
  5. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Nataka ya slow kiongozi
  6. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Ohhh Mghamba yenye chata hizo ndo mazuri vipi lenye speed ndogo ?
  7. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Lipi lina mwendo mzuri kiongozi?
  8. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Yote yanatokea Nyegezi au Buzuruga ?hiyo ni 2 by 2 au ?
  9. M

    Basi zuri la kupanda Mwanza Arusha/Moshi

    Jamani next week nataka kusafiri toka Mwanza kwenda Arusha,naulizia basi zuri luxury pamoja na nauli zao,ikiwezekana nipate na number za Agent wao!saidieni wanajanvi
  10. M

    Hatimae uhamisho wa watumishi kuendelea rasmi

    u hamisho mh atusaidietu taratibu tayari zimefanyika
  11. M

    Simbachawene: Uhamisho kwa watumishi wenye ndoa ruksa

    uhakiki umeisha please TAMISEMI watoe vibali vya uhamisho tu
  12. M

    Tunashukuru Waziri Simbachawene kwa suala la uhamisho

    OOhhh utaipata tu chamsingi Mh aruhusu uhamisho tunamuomba, maana uhamisho na ajira ndo vilisimamishwa kwa ajili ya uhakiki so ajira zimeanza now, na uhamisho Mh tunamuomba aanze kutoa vibali!
  13. M

    Tunashukuru Waziri Simbachawene kwa suala la uhamisho

    Nimepita JF nikaona hii thread, ya Mh Simbachawene kuzungumzia suala la uhamisho nami nachangia ,Kwanza tunashukuru sana Mh Simbachawene kwa kulitambua suala hili la uhamisho kwa wanandoa kuwa ni haki, ni vizuri wanandoa wakaishi mkoa mmoja ili kuleta ustawi wa familia ulezi na kupunguza ruhusa...
  14. M

    Simbachawene: Marufuku maafisa Utumishi kuzuia uhamisho wa wanandoa kazini.

    Kwanza tunashukuru sana Mh Simbachawene kwa kulitambua suala hili la uhamisho kwa wanandoa, ni vizuri wanandoa wakaishi mkoa mmoja ili kuleta ustawi wa familia ulezi na kupunguza ruhusa zisizo na tija!kwa kuwa yeye ana madaraka tunamuomba aweze kuanza kuruhusu uhamisho kwani TAMISEMI bado vibali...
Back
Top Bottom