Heshima mbele wakuu, natumaini muwazima. Wakuu natamani na napenda kuwa mahiri katika hii issue, lakini ndio ivyo elimu yangu hairuhusu kwa sababu nimeishia kidato cha nne na nipo kwenye field zingine za kusaka fedha mtaani..lakini hii kitu bado moyoni mwangu..je wakuu nitumie njia gani m'badala...
Wadau kama tangazo linavyojieleza kila moja shilingi Tsh 15000/= na zingine itagemea na umaarufu wa mtu..lakini haizidi 70000/= napatikana Kariakoo shimoni na hapo ulipo..
Heshima zenu wakuu..nasumbuliwa na fikra za kutaka kumjua baba yangu mzazi maana tangu nimezaliwa sikuwahi kumuona wala kumsikia nimelelewa na wajomba na mama pekee..nafikiria kumweleza mama lakini naogoga ataona kama sithamini juhudi zake juu yangu...je wakuu nitumie njia gani ili nipate...
Wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2007 na matokeo yalikuwa MATH;C ,CIVICS;B ,PHY'S;C ,BIOS;C ,CHEM;D ,GEOG;D ,ENG;D ,KISW;C..Nilishindwa kusoma kutokana na sababu za kiuchumi....mwaka huu nimeona nijiunge na Chuo. Je naweza kupata Chuo cha Ualimu au chuo cha Afya?..na je kwa matokeo haya...
Habari wakuu...poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu changa...Wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2007 na nilipata daraja la pili la alama 21..kutokana ufukara nilishindwa kuendelea na masomo japo nilichaguliwa kuendelea na masomo ...mwaka huu nimeamua kuendelea na Elimu, je wakuu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.