Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
1 Wakorintho 15:33
Waswahili wanasema ukitaka kubadili Tabia badili mtazamo wako
Chochote unachokisoma kuna sehemu kubwa Sana ya kubadili fikra zako
Ndio Maana Yesu aliweka msisitizo juu ya kile unachopokea maana kwa njia ya mafundisho...
Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo, Kmb 8:18
Watu wengi wanasema Mungu hatoi utajiri, huo ni Uongo. Mungu anatoa utajiri, tena watumishi wengi wa Mungu walikuwa ni matajiri.
Umesoma...
Yohana 8:10
Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?
Ninaposoma habari hii ya Yesu na Mwanamke Huyu kuna maswali mengi ninayapata karibu kusoma Yh 8:2-11 kuna vitu utaviona.
Hawa ndugu...
Tabia za Mwanadamu inajengwa na watu wanaomzunguka kama vile wazazi /walezi, majirani, walimu, dini etc
Mara nyingi tabia Mbaya ni rahisi kuingia kwa MTU lakini sio raisi kuiondoa mfano ulevi, matumizi ya dawa za kulevya, ushoga, umalaya na tabia kama hizo.
Na tabia hizo mara nyingi...
Kuna wakati katika maisha tunakutana na changamoto mbalimbali ambazo zinatukatisha tama kiasi kwamba tunatamani kukatisha maisha yetu au kujidhuru au kufanya maamuzi yoyote magumu , kabla ujafikia uamuzi wa kufanya chochote kibaya kwanza wafikirie wazazi wako na mama yako aliyechukua mimba...
Unaweza kuendelea kuishi maisha ya dhambi na anasa za dunia, unajindangaya kwamba Mungu akuoni au unaamini kwamba Mungu aweze kuhukumu ulimwengu unaona wanao tenda dhambi ni wengi kuliko wasiotenda dhambi
Ebu kaa na ufikiri jaribu kuvuta kumbukumbu zako vizuri angalia wale uliokuwa nao tangu...
Yamkini umezunguka miaka na miaka kutafuta kazi nzuri ya ndogo yako umejaribu kutuma maombi kila application unayokutana nayo umejaribu kutoa sadaka kwa kila madhabau unayoiiua ili Mungu afungue mlango wa ajira lakini haujafanikiwa katikati ya kukat tamaa unapata kazi labda ya kujitolea au...
Kwa yoyote mwenye mpango au lengo la kujenga karibu Yabesi Consult Co Ltd upate ushauri wa namna bora ya kujenga kuanzia gharama za ujenzi, aina ya ramani, gharama za vifaa, namna ya kupata vibaru, mikopo bank na ushauri wa kitaalamu kutoka kwa watalamu wa ujenzi karibu upate ushauri bureee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.