Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,058
Mi siamini katika kuwa msomi au asiye msomi wote ni wanawake,unaweza pata msomi akawa hana akili ya maisha,au akakusumbua kwa kujiona naye anaweza kutafuta pesa,na pia ukampata asiye msomi akawa hajatulia hata ukimuweka mama wa nyumbani ,chamsingi ni kuangalia mtizamo wa mwanamke na akili ya maisha,upendo heshima ni vitu vya msingi na c kuangalia usomi.