Usijionee huruma (don’t feel sorry for ur self)

Jan 13, 2018
38
60
Kuna wakati katika maisha tunakutana na changamoto mbalimbali ambazo zinatukatisha tama kiasi kwamba tunatamani kukatisha maisha yetu au kujidhuru au kufanya maamuzi yoyote magumu , kabla ujafikia uamuzi wa kufanya chochote kibaya kwanza wafikirie wazazi wako na mama yako aliyechukua mimba miezi 9 na kukulea hadi umekuwa mtu mzima yamkini wazazi wako walikuacha kwa ndugu ila kitendo cha kukutunza tumboni bila kutoa mimba ni kitu cha kushukuru Mungu kwa kuwa hai mpaka sasa.

Yamkini umekuwa na changamoto ya tabia ambayo umekuwa nayo ni tabia ambayo unatamani usiku na mchana kuhiacha lakini wapi umejaribu kila njia lakini umeshindwa usikate taamaa Mungu aliyekuumba, hakukumba ushindwe na mwili bali uushinde mwili

Tunaposoma habari ya Rahabu Yule kahaba, Rahabu ingawa alikuwa ni kahaba lakini hakuwa anapenda ile tabia ya ukahabu lakini hakukata tama wazazi wake walimkatia tama lakini yeye hakuvunjika moyo aliendelea kuamini iko siku tabia ya ukahabu itakuwa historia katika maisha yake, tunaona Miungu aliyemuumba alikuja kumtoa katika ukahabu, ndugu yangu katika tabia hiyo ya ukahabau umekuwa unaomba kutoka usiku na mchana Mungu amefungua mlango siku yako inakuja wokovu wako unakaribia na Mungu atakufuta machozi

Wakati nilikuwa nasoma ilifika mahali mwalimu Mkuu alimwambia mama yangu hasipoteze fedha zake maana sita weza kufanya vizuri katika masomo.lakini Mungu aliyenijua tangu tumboni alinisiaidia sio tu kumaliza form 4 vizuri na kupata shahada ya juu, usijikatie taamaa yamkini mtoto uliye naye afanyi vizuri shuleni endelea kumtia moyo hiko siku atafanya vizuri endelea kumwombea Mungu atamtetea endelea kumwamini Mungu juu ya shule yake

Yamkini maisha yamekuwa magumi kiasi kwamba unaona hakuna faida ya kukaa duniani kila unalofanya alifanikiwi kila unalojaribu kufanya hakuna matunda endelea kumwamini Mungu, kama Mungu akutukatia tama wakati adamu ametenda dhambi lakini Mungu aliamini ikosiku tutageuka na kumlejea yeye, kama Mungu ajakata tama juu ya maisha yako kwanini unakata tamaa? Hau aujui jinsi unavyoumia ndivyo Yesu anaumia mara mbili yake kama mzazi anavyoumia juu ya mtoto ndivyo Yesu anavyoumia juu ya maisha yako usikate tamaa. Isa 49:15

Usiku Mmoja unaweza badilisha maisha yako, unaweza kuona kwamba hakuna tumaini lakini tumaini liko kwa Mungu endelea kumwamini Yesu Kristo endelea kuamini tu wokovu wako unakuja , usikate tama.
 
Kuna wakati katika maisha tunakutana na changamoto mbalimbali ambazo zinatukatisha tama kiasi kwamba tunatamani kukatisha maisha yetu au kujidhuru au kufanya maamuzi yoyote magumu , kabla ujafikia uamuzi wa kufanya chochote kibaya kwanza wafikirie wazazi wako na mama yako aliyechukua mimba miezi 9 na kukulea hadi umekuwa mtu mzima yamkini wazazi wako walikuacha kwa ndugu ila kitendo cha kukutunza tumboni bila kutoa mimba ni kitu cha kushukuru Mungu kwa kuwa hai mpaka sasa.

Yamkini umekuwa na changamoto ya tabia ambayo umekuwa nayo ni tabia ambayo unatamani usiku na mchana kuhiacha lakini wapi umejaribu kila njia lakini umeshindwa usikate taamaa Mungu aliyekuumba, hakukumba ushindwe na mwili bali uushinde mwili

Tunaposoma habari ya Rahabu Yule kahaba, Rahabu ingawa alikuwa ni kahaba lakini hakuwa anapenda ile tabia ya ukahabu lakini hakukata tama wazazi wake walimkatia tama lakini yeye hakuvunjika moyo aliendelea kuamini iko siku tabia ya ukahabu itakuwa historia katika maisha yake, tunaona Miungu aliyemuumba alikuja kumtoa katika ukahabu, ndugu yangu katika tabia hiyo ya ukahabau umekuwa unaomba kutoka usiku na mchana Mungu amefungua mlango siku yako inakuja wokovu wako unakaribia na Mungu atakufuta machozi

Wakati nilikuwa nasoma ilifika mahali mwalimu Mkuu alimwambia mama yangu hasipoteze fedha zake maana sita weza kufanya vizuri katika masomo.lakini Mungu aliyenijua tangu tumboni alinisiaidia sio tu kumaliza form 4 vizuri na kupata shahada ya juu, usijikatie taamaa yamkini mtoto uliye naye afanyi vizuri shuleni endelea kumtia moyo hiko siku atafanya vizuri endelea kumwombea Mungu atamtetea endelea kumwamini Mungu juu ya shule yake

Yamkini maisha yamekuwa magumi kiasi kwamba unaona hakuna faida ya kukaa duniani kila unalofanya alifanikiwi kila unalojaribu kufanya hakuna matunda endelea kumwamini Mungu, kama Mungu akutukatia tama wakati adamu ametenda dhambi lakini Mungu aliamini ikosiku tutageuka na kumlejea yeye, kama Mungu ajakata tama juu ya maisha yako kwanini unakata tamaa? Hau aujui jinsi unavyoumia ndivyo Yesu anaumia mara mbili yake kama mzazi anavyoumia juu ya mtoto ndivyo Yesu anavyoumia juu ya maisha yako usikate tamaa. Isa 49:15

Usiku Mmoja unaweza badilisha maisha yako, unaweza kuona kwamba hakuna tumaini lakini tumaini liko kwa Mungu endelea kumwamini Yesu Kristo endelea kuamini tu wokovu wako unakuja , usikate tama.
Amina. Ila usiseme tu Mungu aliyekuumba anajua, pia tambua kutumia firsa vizuri unazokutana nazo ili kuzihilisha utufu wa Mungu aliyekuumba hakukuumba kibahati mbaya.
 
Kuna wakati katika maisha tunakutana na changamoto mbalimbali ambazo zinatukatisha tama kiasi kwamba tunatamani kukatisha maisha yetu au kujidhuru au kufanya maamuzi yoyote magumu , kabla ujafikia uamuzi wa kufanya chochote kibaya kwanza wafikirie wazazi wako na mama yako aliyechukua mimba miezi 9 na kukulea hadi umekuwa mtu mzima yamkini wazazi wako walikuacha kwa ndugu ila kitendo cha kukutunza tumboni bila kutoa mimba ni kitu cha kushukuru Mungu kwa kuwa hai mpaka sasa.

Yamkini umekuwa na changamoto ya tabia ambayo umekuwa nayo ni tabia ambayo unatamani usiku na mchana kuhiacha lakini wapi umejaribu kila njia lakini umeshindwa usikate taamaa Mungu aliyekuumba, hakukumba ushindwe na mwili bali uushinde mwili

Tunaposoma habari ya Rahabu Yule kahaba, Rahabu ingawa alikuwa ni kahaba lakini hakuwa anapenda ile tabia ya ukahabu lakini hakukata tama wazazi wake walimkatia tama lakini yeye hakuvunjika moyo aliendelea kuamini iko siku tabia ya ukahabu itakuwa historia katika maisha yake, tunaona Miungu aliyemuumba alikuja kumtoa katika ukahabu, ndugu yangu katika tabia hiyo ya ukahabau umekuwa unaomba kutoka usiku na mchana Mungu amefungua mlango siku yako inakuja wokovu wako unakaribia na Mungu atakufuta machozi

Wakati nilikuwa nasoma ilifika mahali mwalimu Mkuu alimwambia mama yangu hasipoteze fedha zake maana sita weza kufanya vizuri katika masomo.lakini Mungu aliyenijua tangu tumboni alinisiaidia sio tu kumaliza form 4 vizuri na kupata shahada ya juu, usijikatie taamaa yamkini mtoto uliye naye afanyi vizuri shuleni endelea kumtia moyo hiko siku atafanya vizuri endelea kumwombea Mungu atamtetea endelea kumwamini Mungu juu ya shule yake

Yamkini maisha yamekuwa magumi kiasi kwamba unaona hakuna faida ya kukaa duniani kila unalofanya alifanikiwi kila unalojaribu kufanya hakuna matunda endelea kumwamini Mungu, kama Mungu akutukatia tama wakati adamu ametenda dhambi lakini Mungu aliamini ikosiku tutageuka na kumlejea yeye, kama Mungu ajakata tama juu ya maisha yako kwanini unakata tamaa? Hau aujui jinsi unavyoumia ndivyo Yesu anaumia mara mbili yake kama mzazi anavyoumia juu ya mtoto ndivyo Yesu anavyoumia juu ya maisha yako usikate tamaa. Isa 49:15

Usiku Mmoja unaweza badilisha maisha yako, unaweza kuona kwamba hakuna tumaini lakini tumaini liko kwa Mungu endelea kumwamini Yesu Kristo endelea kuamini tu wokovu wako unakuja , usikate tama.
Ni kweli tusikate tamaa,nilipokua form two kuna ndugu yetu wa karibu alikuja kutusalimia home wakiwa na mzee,sasa mzee akawa ameingia chumbani one time,yule mzee akaniuliza habari za shule,masomo nayaonaje basi swali la mwisho likawa what's ur ambition nikamjibu nataka nikiwa mkubwa niwe.......yule mzee alicheka sana,akaniambia huwezi kua hivyo,yaani sahau kabisa,na mda anaondoka nikaambiwa nimfungulie geti,ile namuaga akarudia maneno yaleyele,kwa kweli niliumia sana,ule usiku ulikua mchungu sana,na sikuwahi kuwaambia wazazi.
Ila Mungu mkubwa nilikaza shuleni na kutimiza ndoto zangu.Hakika Jina LA Yesu Kristu Lisifiwe Milele na Hata Milele.Amina
 
Ni kweli tusikate tamaa,nilipokua form two kuna ndugu yetu wa karibu alikuja kutusalimia home wakiwa na mzee,sasa mzee akawa ameingia chumbani one time,yule mzee akaniuliza habari za shule,masomo nayaonaje basi swali la mwisho likawa what's ur ambition nikamjibu nataka nikiwa mkubwa niwe.......yule mzee alicheka sana,akaniambia huwezi kua hivyo,yaani sahau kabisa,na mda anaondoka nikaambiwa nimfungulie geti,ile namuaga akarudia maneno yaleyele,kwa kweli niliumia sana,ule usiku ulikua mchungu sana,na sikuwahi kuwaambia wazazi.
Ila Mungu mkubwa nilikaza shuleni na kutimiza ndoto zangu.Hakika Jina LA Yesu Kristu Lisifiwe Milele na Hata Milele.Amina
...Litakuwa ni jambo jema sana ukimtafuta mzee yule na kumshuhudia Nguvu ya Mungu ilivyotenda mema kwako tofauti na utabiri wake...
 
Hakika atakua ameuona Utukufu Wa Mungu,Maana huwa tunakutana na anajua Mimi nafanya nini sasa ivi,so atakua analojibu Moyoni mwake
...Litakuwa ni jambo jema sana ukimtafuta mzee yule na kumshuhudia Nguvu ya Mungu ilivyotenda mema kwako tofauti na utabiri wake...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom