Kauli ya Mwalimu Nyerere Kuhusu Lowassa: NEC Dodoma 1995
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini...
Ndugu wapenzi wa soka la Tanzania, Jambo ambalo timu ya simba wameenda kukifanya South Africa si cha kimichezo kabisa, habari kutoka ndani ya club ya simba imethibitisha kuwa wachezaji wamepelekwa kuongezewa nguvu za kuweza kukabiliana na watani zao wa Jadi Young African.
Chanzo hicho cha...
Ndege ya Malaysia ; Msako wa wiki mbili haujaleta matunda
Kikosi cha kimataifa kinachosaka ndege hiyo yenye namba ya safari MH370 katika eneo la ndani la bahari kusini mwa India kimerejea leo Jumamosi(22.03.2014) katika eneo ambako mabaki ambayo yanashukiwa kuwa ya ndege hiyo yalionekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.