Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,452
- 12,319
Na ndio maana hawa jamaa huwa wana vamiwa na kuporwa siraha kiurahisi kabisa,kuna haja ya jeshi la polisi kuwa angalia upya hawa vijana mnao waajiri siku hizi.
Huyo anayechat kajiegesha kwa uzuri, miguu ngazi ya kwanza, kiuno ngazi ya pili, mgongo ngazi ya tatu na Kichwa ngazi ya nne.
Hakuna editing hapo mkuu.
Nina wasiwasi na hiyo picha.Hapo kitu cha photo editing lazima kinausika.
kama ninacho kiwaza ndicho ulicho maanisha basi we ni noma teh teh teh.
Smartphone na smartgun vinamvutia smartguy! Smartguys wataendelea kunyanyasa jeshi la polisi mpaka jeshi litakapostuka na kujiweka smart vilevileNa ndio maana hawa jamaa huwa wana vamiwa na kuporwa siraha kiurahisi kabisa,kuna haja ya jeshi la polisi kuwa angalia upya hawa vijana mnao waajiri siku hizi.