Muhimu kujiandaa na kumtumaini Mungu. Last year October tuliitwa watu 1100+ kweny nafasi 2 . Tuliofanya Ni 500+ na oral tuliingia 23 na Kwa kudra za Allah katika Hao wawili Nami nikapata Kazi.
Wasalaam ndugu zangu, iko hivi
Nilipata Kazi taasisi moja hapa Dar nikiwa mkoani mwanzoni mwa mwezi huu wa 12. Kutokana na kutokuwa na ndugu ambaye ningeweza kufikia kwake ilibidi nitafute chumba Kwa akili ya makazi.
Nilipata chumba na nikalipia Kodi ya miezi 6 na kupewa mkataba na mwenye...
Dah me mwenyewe Leo nimepokea mkando hatari, nilifanya written juzi jumatatu kwa kazi 2 tofauti i.e EXAMINATION OFFICER na REGISTRATION OFFICER zote NECTA kila moja ikiwa na nafasi 2. Matokeo yametoka Jana nkipenya zote na kuingia oral.
Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.