Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 431
- 1,335
Hii Sijui fresh from School haikuwa na haja ya kuiandika, Unatuchoma sisi ambao tuna 5+ years since we graduatedDah! Mungu mkubwa na mimi leo nimepata kazi. Nipende kuwashukuru wanajukwaa wote kwa michango yenu imenisaidia sana na kuzingatia i was just fresh from school(graduated in 2022) na expirience yote nimeitoa kwenye hili jukwaa. Mwenyezi Mungu azidi kuwapambania nyote mnaotafuta ajira.