Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
 
Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
It's not over until it's over..

Mvumilivu hula mbivu...

Jumbe nying za pongez inatosha kumshukuru Mungu Kwa maan kund kubwa la watu WALIKUWA pamoja na ww katka maombi na hatimae umepata


DON'T FORGET TO APPRECIATE THOSE GOD USES TO LIFT YOU.
 
It's not over until it's over..

Mvumilivu hula mbivu...

Jumbe nying za pongez inatosha kumshukuru Mungu Kwa maan kund kubwa la watu WALIKUWA pamoja na ww katka maombi na hatimae umepata


DON'T FORGET TO APPRECIATE THOSE GOD USES TO LIFT YOU.
Amina kaka , nikama watu mmetoka humu nakuenda kuniombea kwa PSRS wanipe kazi

nawashukuru sana ,sana.
 
Natamani kuandika kitu juu ya #Mfwende_sawadogo lakini nakosa. Mengi yamezungumzwa juu yake ya pongezi ,namm naungana na nyie wana Jf humu ,kutoa neno la pongezi kwake ....Hongera sana kaka .Mwenyez Mungu akutangulie huko kazini
Na sisi tuliobakia Mungu atusaidie one day wote tupate ...
 
Natamani kuandika kitu juu ya #Mfwende_sawadogo lakini nakosa. Mengi yamezungumzwa juu yake ya pongezi ,namm naungana na nyie wana Jf humu ,kutoa neno la pongezi kwake ....Hongera sana kaka .Mwenyez Mungu akutangulie huko kazini
Na sisi tuliobakia Mungu atusaidie one day wote tupate ...
Nashukuru sana champ, utafanikiwa.
 
Hong
Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)

Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
Hongera tena kaka,mim bado naskilizia kaka ila naamin wkt wa Mungu ndo wkt sahihi... inshallah soon nami ntaleta mrejesho hapa kuwa nimepangwa sehem fulan..cku zote wakati wa Mwenyez Mungu ndo wakat sahihi
 
wakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo

Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs
Hongera! Hongera! Hongera sana!! Ni sherehe hapa hatimaye mkongwe wa uzi huu umelamba asali!! Ni hakika ushuhuda wako utawatia moyo wengi!! Kumbuka kumshukuru Mungu, Jitahidi ukawe mtumishi mwema, Ningependa utoe ushuhuda kwa kirefu kuhusu safari yako ya kusaka ajira, ups and downs ulizopitia, gharama ulizotumia hadi sasa, Hii yote itawasaidia wale wanaojisikia kukata tamaa!! Hongera sana!! Hakika nimefurahi sana!!
 
Back
Top Bottom