El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 1,451
- 3,295
zitakua nayo tu lazima..Dah sawadogo kachomoka ivi wakuu hizi kazi za tutorial assistant Huwa hazina database dah!! Watuchomoe na sisi aseee
zitakua nayo tu lazima..Dah sawadogo kachomoka ivi wakuu hizi kazi za tutorial assistant Huwa hazina database dah!! Watuchomoe na sisi aseee
mmhh toka february.aisee god is great..
sio mchezo..Jamaa kasugua sana,
Dah nimefurahi sana mwamba kuona ushuhuda wako, hongera sana.wakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo
Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs
Hongera kubwa sana kk, Mungu ni mwemawakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo
Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs
Wooow hongera sana… nimekumbuka kipindi unapiga ramli za pdf humu ndani😂😂😂 I’m so happy for u nakutakia utumishi mwema mfwende sawadogo #oneluv❤️wakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo
Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs
It's not over until it's over..Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu
nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)
Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.
nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.
nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.
mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
Amina kaka , nikama watu mmetoka humu nakuenda kuniombea kwa PSRS wanipe kaziIt's not over until it's over..
Mvumilivu hula mbivu...
Jumbe nying za pongez inatosha kumshukuru Mungu Kwa maan kund kubwa la watu WALIKUWA pamoja na ww katka maombi na hatimae umepata
DON'T FORGET TO APPRECIATE THOSE GOD USES TO LIFT YOU.
Thank u champ, nilipiga ramli mpaka nikaacha aiseehWooow hongera sana… nimekumbuka kipindi unapiga ramli za pdf humu ndani😂😂😂 I’m so happy for u nakutakia utumishi mwema mfwende sawadogo #oneluv❤️
Imebaki historia sasaThank u champ, nilipiga ramli mpaka nikaacha aiseeh
Tutorial hazina databaseDah sawadogo kachomoka ivi wakuu hizi kazi za tutorial assistant Huwa hazina database dah!! Watuchomoe na sisi aseee
Ndio kaka, nimeanza panel 1 nkaunganisha na ya 2.Oral pia umefanya zote?
Nashukuru sana champ, utafanikiwa.Natamani kuandika kitu juu ya #Mfwende_sawadogo lakini nakosa. Mengi yamezungumzwa juu yake ya pongezi ,namm naungana na nyie wana Jf humu ,kutoa neno la pongezi kwake ....Hongera sana kaka .Mwenyez Mungu akutangulie huko kazini
Na sisi tuliobakia Mungu atusaidie one day wote tupate ...
Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu
nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)
Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.
nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.
nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.
mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
Hongera tena kaka,mim bado naskilizia kaka ila naamin wkt wa Mungu ndo wkt sahihi... inshallah soon nami ntaleta mrejesho hapa kuwa nimepangwa sehem fulan..cku zote wakati wa Mwenyez Mungu ndo wakat sahihiNdugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu
nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)
Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.
nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.
nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.
mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
Ahsante chief, soon utafikiwa.Hong
Hongera tena kaka,mim bado naskilizia kaka ila naamin wkt wa Mungu ndo wkt sahihi... inshallah soon nami ntaleta mrejesho hapa kuwa nimepangwa sehem fulan..cku zote wakati wa Mwenyez Mungu ndo wakat sahihi
Hongera sana, wakati wa Mungu ni wakati sahihi.wakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo
Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs
Hongera! Hongera! Hongera sana!! Ni sherehe hapa hatimaye mkongwe wa uzi huu umelamba asali!! Ni hakika ushuhuda wako utawatia moyo wengi!! Kumbuka kumshukuru Mungu, Jitahidi ukawe mtumishi mwema, Ningependa utoe ushuhuda kwa kirefu kuhusu safari yako ya kusaka ajira, ups and downs ulizopitia, gharama ulizotumia hadi sasa, Hii yote itawasaidia wale wanaojisikia kukata tamaa!! Hongera sana!! Hakika nimefurahi sana!!wakuu lazima tutoe mrejesho hapa
hatimaye nimeangukia halmashauri leo
Nawashukuru ndugu zangu
nawashukuru psrs