Kama angekuwa anaongoza yeye katika uchaguzi huo, sidhani kama angefuta uchaguzi. Lakini anajidanganya. Mimi naamini Wamalawi wana hasira naye, hata hao wanaomwunga mkono, wamemwona wa ajabu.
Mimi ni mwalimu wa sekondari katika Halmashauri ya Mji Mpanda, atakayekuwa tayari kubadilishana kituo cha kazi, kutoka Nzega mjini au Shinyanga mjini. Piga 0712910730.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.