Ni kweli Kuna wachagga wengi wenye asili ya kimasai! Mm Babu yetu WA ukoo alikua mmasai kabisa na jina alotumia Leo linatumika umasaini tena wale wamasai wa Kenya ! Sisi wenyewe ukoo wetu maana yake inadhihirisha tulikua wamasai na kazi kubwa ilikua ufugaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.